witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,103
Naomba hii comment mods waiscreen shot kisha ifanyiwe lamination kwa ajili ya ukumbusho
Naomba hii comment mods waiscreen shot kisha ifanyiwe lamination kwa ajili ya ukumbusho
MmmmhAcha kumuibia mwenzio huo mti wa hiyo dawa unaitwa myegea (Kigelia Africana) utafute Popote ulipo inapatikana. Ukiupata tafuta tunda lake changa (huo mti unazaa matunda marefu kama matango ila hayaliwi) liweke alama, halafu lichanje litatoa utomvu. Ule utomvu jichanje kwenye uume wako na upakae, na baada ya hapo utakuwa unaangalia jinsi uume unavyoongezeka mpaka saizi uitakayo then unarudi kwenye ule mti wa myegea na kukata lile tunda ulilochanjia. Hiki ndicho babu yangu, mganga maarufu wa enzi hizo, alivyonifundisha.
Nini mkuu TenaIla wewe
Ingependeza sana kama ungeliweka kapicha mkuuMkuu pole sana, ukiwa unapiga game hebu jaribu kumkunja mwenza wako kwa style ya chura kaenda msibani huenda ikawa na matokeo mazuri.
Mkuu nimecheka pale ulipoandika hata ukigusa mbususu kazi inakua imeishaNini mkuu Tena
Zile kuta zitasuguliwa na brush ama na nn."It ain't all about the size of the boat, it's about the motion in the ocean."
Mkuu kwanza pole kwa hiyo changamoto. Siamini kwenye madawa na sikushauri pia, coz unaweza kuongeza tatizo. Hapa ntakupa njia ambazo ni 'proven' na zina matokeo chanya 100%. Kwanza lazima ujue kua kuna aina nyingi sana za female orgasms. Most common ni clitoral orgasm, G-spot orgasm & Blended orgasm (combination ya hizo mbili hapo) n.k.
1. Clitoral Orgasm
Kwa kifupi hii inatokana na stimulation ya kisimi (clitoris), sehemu ambayo wataalam wanasema kuna nerve endings nyingi mno, so ni super sensitive kuliko hata kichwa cha m*oo. Wala haihitaji uwe na m*oo kubwa kuweza kumpa mwanamke wako aina hii ya orgasm, hapo ni utundu wako tu wa kustimulate clit yake. Hapa utapata matokeo mazuri sana ukitumia ncha ya ulimi ku-lick hicho kisimi, ingawa unaeza pia kutumia njia ya kukisugua sugua gently kwa kidole laini (up & down na round movement), na kwa kutumia m*oo kukisugua sugua, hii ndio ile wabongo wanaita katerero. Kwa baadhi ya wanawake stimulation nzuri ya clitoris huwa inawapa mpaka squirting orgasm, kibongo bongo ndio ile wanasema kurusha maji. As i said clit ni super sensitive, uki-master vizuri jinsi ya kukistimulate utakua na uhakika wa kumpa 'clitoral orgasm' mwanamke yoyote utakaekutana nae (I guarantee it), labda kama amekeketwa. So kama umenielewa vizuri hii aina ya kwanza ya orgasm hata ungekua na m*oo nchi 1 haina shida.
Kuandika maelezo marefu ni kipaji, ila ntajitahidi kurudi kukuelezea aina ya pili ya female orgasm, yani G-spot orgasm.
Hamna sehemu nliyosema penetration haina umuhimu. Kwa jinsi maumbile ya mtoa mada yalivyo ni ngumu sana kwake kumridhisha mwanamke through penetration, so hilo sio la kuliongelea hapa. Lengo langu kubwa ni kumpa proven alternatives zitakazochangia kwa asilimia kubwa (sio ZOTE) kuwaridhisha atakaoukutana nao, na kupunguza ukali wa tatizo la maumbile yake madogo. Isitoshe unaweza ukawa na maumbile makubwa ila bado ukawa huna techniques za kumfikisha mwanamke wako. Ndio maana kuna msemo wanasema 'it ain't all about the size of the boat/ship, it's about the motion in the ocean.Zile kuta zitasuguliwa na brush ama na nn.
Wapo wanafika hata kwa foreplays tu, lkn haina maana kuwa ndo mchezo uishie apo... Bado kuna uhitaji wa kumsugua mbususu hadi ndanindan kule.
Kuna tofauti kati ya kushiba na kujaza tumbo.
Anaeshiba kwa kula kiepe+kuku+juice+matunda ni tofauti na anayeshiba kwa kula viazi vitamu+maji. Japo wote wameshiba
Am very certain of it..Mkuu nimecheka pale ulipoandika hata ukigusa mbususu kazi inakua imeisha
Vp kuhusu yy kuenjoy tendoHamna sehemu nliyosema penetration haina umuhimu. Kwa jinsi maumbile ya mtoa mada yalivyo ni ngumu sana kwake kumridhisha mwanamke through penetration, so hilo sio la kuliongelea hapa. Lengo langu kubwa ni kumpa proven alternatives zitakazochangia kwa asilimia kubwa (sio ZOTE) kuwaridhisha atakaoukutana nao, na kupunguza ukali wa tatizo la maumbile yake madogo. Isitoshe unaweza ukawa na maumbile makubwa ila bado ukawa huna techniques za kumfikisha mwanamke wako. Ndio maana kuna msemo wanasema 'it ain't all about the size of the boat/ship, it's about the motion in the ocean.
Yeye nani? Mwanaume au mwanamke?Vp kuhusu yy kuenjoy tendo
Malizia mtaalamu hawa wa alksus sijui wafanyabiashara tu na sis tunatak utib tatizoHamna sehemu nliyosema penetration haina umuhimu. Kwa jinsi maumbile ya mtoa mada yalivyo ni ngumu sana kwake kumridhisha mwanamke through penetration, so hilo sio la kuliongelea hapa. Lengo langu kubwa ni kumpa proven alternatives zitakazochangia kwa asilimia kubwa (sio ZOTE) kuwaridhisha atakaoukutana nao, na kupunguza ukali wa tatizo la maumbile yake madogo. Isitoshe unaweza ukawa na maumbile makubwa ila bado ukawa huna techniques za kumfikisha mwanamke wako. Ndio maana kuna msemo wanasema 'it ain't all about the size of the boat/ship, it's about the motion in the ocean.
Kuenjoy tendo ni mpaka uwe na muhogo!? Watu wanaenjoy kwa kupiga nyeto tu, sembuse yeye. Isitoshe as far as sex is concerned, men & women have been programmed very differently. Kumfikisha vizuri mwanamke ni mchakato na inahusisha techniques tofauti tofauti, ndani na nje ya kitanda. Nyingine ni mpaka za kisaikolojia, kucheza na mindset yake, kumfanya arelax n.k. Ndio maana sio kila mwanaume anaweza kumridhisha mwanamke wake. Ila hiyo iko tofauti sana kwa upande wetu wanaume, wanawake kuturidhisha ni kazi rahisi sana, wala haihitaji mbinu zozote advanved, na haihushi pia maumbile yetu, as long as mwanaume ana hisia, anaweza kudindisha vizuri na kukojoa inatosha kufurahia tendoMwanaume mwenye 2 inches
Ha haaa haaaaaa balaa ndo lnapoanza hapoOle wako siku unaenda unakuta tunda lako halipo
Ni kweli sasa inaongezeka au maneno tu?Mkuu nakwambia huko kijijini kwetu kuna jamaa alifanya hivyo, alienda akakuta matunda yote yamechanjwa na wahuni, ilibidi atoe matunda yote kwenye mti
Bado hujamsaidia.Kuenjoy tendo ni mpaka uwe na muhogo!? Watu wanaenjoy kwa kupiga nyeto tu, sembuse yeye. Isitoshe as far as sex is concerned, men & women have been programmed very differently. Kumfikisha vizuri mwanamke ni mchakato na inahusisha techniques tofauti tofauti, ndani na nje ya kitanda. Nyingine ni mpaka za kisaikolojia, kucheza na mindset yake, kumfanya arelax n.k. Ndio maana sio kila mwanaume anaweza kumridhisha mwanamke wake. Ila hiyo iko tofauti sana kwa upande wetu wanaume, wanawake kuturidhisha ni kazi rahisi sana, wala haihitaji mbinu zozote advanved, na haihushi pia maumbile yetu, as long as mwanaume ana hisia, anaweza kudindisha vizuri na kukojoa inatosha kufurahia tendo
Wewe unaemkatisha tamaa na kumwambia hawezi kufurahia tendo ndio umemsaidia!?Bado hujamsaidia.
Si kwamba nmeishia kumkatisha tamaa, bali nmempa alternative itakayomsaidia kuwa sawa angalau.Wewe unaemkatisha tamaa na kumwambia hawezi kufurahia tendo ndio umemsaidia!?