Propaganda iliyoanzishwa ya kuchafua wanaume wenye maumbile madogo inatafuna sana vijana kisaikolojia, vijana wengi wahusika wanakosa confidence

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,033
Ni propaganda chafu iliyoanzwa kusambazwa zaidi miaka ya 2010s, kabla ya hapo masuala ya maumbile hayakuwa big deal kwenye mahusiano, miaka hio hata msamiati wa kibamia haukuwepo, kijana enzi hizo hata akiwa na size ndogo anaweza kuwa player hatari sana bila aibu yoyote,

Ghafla likazuka hili jinamizi mithiri ya mchicha lakini hali ya sasa ni mbaya maana limetandaza mizizi yake vichwani mwa vijana wa kizazi cha sasa, njia za kutandaza jinamizi hili ni kupitia bongo fleva, komedi, muvi, magroup ya mtandaoni, n.k.

Imefikia hatua ya kwamba mwanaume akiwa na kibamia anaishiwa konfidens kabisa kwa kujua wazi kabisa hata awe mtanashati, hata awe na pesa, hata awe na mvuta, anahisi umbile litamtia aibu, ni hali inayojenga depression kwa vijana wa kiume, akili imesetiwa tayari na hii propaganda chafu kwamba umbile dogo ni kilema chenye kutia aibu.

Nao mabinti wamekuwa enforcers wakubwa sana wa hii propaganda, imekuwa ni moja ya silaha kuu za kumshambulia na kumdhihaki mwanaume, hata pale wanapozaa watoto wa kiume huhesabia ukubwa wa maumbile kuwa zawadi ama laana kwa mtoto.

Hata kwa wale ambao picha zimevuja mitandaoni suala la kwanza limekuwa kucheki umbile, ikiwa ni umbile dogo huwa ni aibu sana lakini likuwa umbile kubwa hata muhusika haoni aibu vido yake kuvuja na mabinti wanakosa pa kumchekea.
 
Ulimwengu ni sehemu ya propaganda, maisha yetu yametawaliwa na propaganda katika kila nyanja kama siasa, uchumi, afya, dini, mambo ya kijamii n.k. Yaani ukigeuka huku ni propaganda, ukirudi huku ni propaganda. Mwisho wa siku stress na depression havitakuacha salama.

Kinachotakiwa ni kutafuta ukweli. Katika kila jambo unalosikia au kuambiwa, usilibebe kama lilivyo. Tafuta ukweli na kweli itakuweka huru.
 
Ni propaganda chafu iliyoanzwa kusambazwa zaidi miaka ya 2010s, kabla ya hapo masuala ya maumbile hayakuwa big deal kwenye mahusiano, miaka hio hata msamiati wa kibamia haukuwepo, kijana enzi hizo hata akiwa na size ndogo anaweza kuwa player hatari sana bila aibu yoyote,

Ghafla likazuka hili jinamizi mithiri ya mchicha lakini hali ya sasa ni mbaya maana limetandaza mizizi yake vichwani mwa vijana wa kizazi cha sasa, njia za kutandaza jinamizi hili ni kupitia bongo fleva, komedi, muvi, magroup ya mtandaoni, n.k.

Imefikia hatua ya kwamba mwanaume akiwa na kibamia anaishiwa konfidens kabisa kwa kujua wazi kabisa hata awe mtanashati, hata awe na pesa, hata awe na mvuta, anahisi umbile litamtia aibu, ni hali inayojenga depression kwa vijana wa kiume, akili imesetiwa tayari na hii propaganda chafu kwamba umbile dogo ni kilema chenye kutia aibu.

Nao mabinti wamekuwa enforcers wakubwa sana wa hii propaganda, imekuwa ni moja ya silaha kuu za kumshambulia na kumdhihaki mwanaume, hata pale wanapozaa watoto wa kiume huhesabia ukubwa wa maumbile kuwa zawadi ama laana kwa mtoto.

Hata kwa wale ambao picha zimevuja mitandaoni suala la kwanza limekuwa kucheki umbile, ikiwa ni umbile dogo huwa ni aibu sana lakini likuwa umbile kubwa hata muhusika haoni aibu vido yake kuvuja na mabinti wanakosa pa kumchekea.
Mmmhh!
Nyinyi mnaoanzisha mada kama hizi huwa mnafikiria nini Kwanza?????!!?
 
Men are logical thinker and women are emotional feeler mimi katika kitu ambacho sikitilii maanani ni nauli za wanawake kwasababu wao wanaongea kitu unachotaka kusikia kwa wakati huo.
 
Napishana na mtu mlangoni hiyo mikono kaitupa kiasi unaona huu sio utembeaji ila target yake ilikuwa aguse Lumumba aone mzigo size ngapi.
Shit Head kabisa angepasua karakana.
 
Back
Top Bottom