dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,129
- 49,391
... huwa mnakumbuka haya mambo ya kupanda miti pale mnapoona negative effects; mvua zikinyesha mnasahau tena! Miti namba moja ya kutunza sio mipapai na miembe mnayopanda kwenye maeneo yenu! Miti muhimu zaidi kwa tabia nchi ni misitu ya asili ambayo wafugaji wanaohamahama na wachoma mikaa wana ugomvi nayo wa kudumu. Nchi inageuka jangwa hii!
Huwa najiuliza, kama biogas inayotokana na vinyesi vya kuku inaweza kutumika kupikia hadi kuwasha taa majumbuni, hizi stori kwamba gesi asilia ya Mtwara haifai kwa matumizi ya majumbani inatoka wapi? Hata kama inatakiwa kuwa processed ili ifae, kwanini isiwe processed wananchi wakapata nishati kwa bei nafuu?
I tell you, mtungi wa gesi 30kg ukiuzwa not more than 15,000/= zaidi ya 80% ya wananchi wata-opt gas na kuachana na mkaa na kuni na hapo ndipo serikali itakuwa na nguvu ya kutunga na ku-enforce sheria ya ku-criminalize mkaa na kuni kuwa nyara za taifa! Vinginevyo, ni kuwaonea wananchi; at 60,000/- mtungi wa gas ni wangapi wanamudu? Serikali ina sehemu ya lawama kwenye hili!
Huwa najiuliza, kama biogas inayotokana na vinyesi vya kuku inaweza kutumika kupikia hadi kuwasha taa majumbuni, hizi stori kwamba gesi asilia ya Mtwara haifai kwa matumizi ya majumbani inatoka wapi? Hata kama inatakiwa kuwa processed ili ifae, kwanini isiwe processed wananchi wakapata nishati kwa bei nafuu?
I tell you, mtungi wa gesi 30kg ukiuzwa not more than 15,000/= zaidi ya 80% ya wananchi wata-opt gas na kuachana na mkaa na kuni na hapo ndipo serikali itakuwa na nguvu ya kutunga na ku-enforce sheria ya ku-criminalize mkaa na kuni kuwa nyara za taifa! Vinginevyo, ni kuwaonea wananchi; at 60,000/- mtungi wa gas ni wangapi wanamudu? Serikali ina sehemu ya lawama kwenye hili!