Tatizo la LUKU limerudi tena

Ni siku ya pili sasa kuna tatizo kubwa ya Luku. either kwa kununua kwa njia ya mitandao ama kwa wakala wao.

Waziri mpya tulijua umeingia kuongeza kasi kumbe mambo ni yale yale...
Huduma ya LUKU
Screenshot_20211005-103659_WhatsApp.jpg
 
Hili ni donda sugu kwa sasa. Umeme haipiti siku bila kukata. Maeneo ya chuo kikuu na changanyike kila siku lazima umeme ukate! Hata sasa umeme haupo kuanzia saa tatu asubuhi!! Tanesco tunarudi kulee, enzi za mabwawa kujaa matope! Wacheni huu utapeli mbaya kwa watanzania.
Jumatano wamekata umeme bila taarifa kwa masaa 12, Alhamis hivyo hivyo bila taarifa, Jumapili wakatoa taarifa.

Jumatatu siruhusiwi kununua Luku hadi saa 9 alasiri. Hivi watanipa hela ya kula mwisho wa mwezi? Hawajui kuwa Kuna watu umeme ndio maisha yetu!?
 
Back
Top Bottom