TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,584
- 2,104
Hakuna tatizo kwa sasa tafadhali endelea kununua umemeWewe upo mkoa gani? Mbona hakuna tatizo la luku mkuu,
Anyway si mkubali Makamba tangu akiwa waziri wa teknolojia na habari enzi za mkwere.
Hakuna tatizo kwa sasa tafadhali endelea kununua umemeWewe upo mkoa gani? Mbona hakuna tatizo la luku mkuu,
Anyway si mkubali Makamba tangu akiwa waziri wa teknolojia na habari enzi za mkwere.
Mh! Mbona umetaja kaeneo kadogo sana wakati kanda nzima ya ziwa ilizimiwa kutwa nzima.Jana Geita hakukuwa na umeme! Hasa karumwa na nyang'hwale yote!
Huduma ya LUKUNi siku ya pili sasa kuna tatizo kubwa ya Luku. either kwa kununua kwa njia ya mitandao ama kwa wakala wao.
Waziri mpya tulijua umeingia kuongeza kasi kumbe mambo ni yale yale...
Jumatano wamekata umeme bila taarifa kwa masaa 12, Alhamis hivyo hivyo bila taarifa, Jumapili wakatoa taarifa.
Jumatatu siruhusiwi kununua Luku hadi saa 9 alasiri. Hivi watanipa hela ya kula mwisho wa mwezi? Hawajui kuwa Kuna watu umeme ndio maisha yetu!?
Mnawaiga FB sio?Huduma ya LUKUView attachment 1963513
Mwanza na Shy pia hakukua na umeme toka alfajiri mpaka jioni.Jana Geita hakukuwa na umeme! Hasa karumwa na nyang'hwale yote!
Hamko serious na kazi yenu..Huduma ya LUKUView attachment 1963513