Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,077
- 3,607
Pole chiefMi naende week ya pili sasa, alhamdullilah nmeanza kusikia harufu japo kwa mbali sana.
Pole chiefMi naende week ya pili sasa, alhamdullilah nmeanza kusikia harufu japo kwa mbali sana.
Mkuu leo nimeanza pata ahueni kwa mbali..nilipita mahali nikahisi harufu ya fegi nilifarijika sanaMh ukipona ulete mrejesho aisee maana!
Kukaja Kununu
Hahahaha inatia farajamkuu leo nimeanza pata ahueni kwa mbali..nilipita mahali nikahisi harufu ya fegi nilifarijika sana
mkuu leo nimeanza pata ahueni kwa mbali..nilipita mahali nikahisi harufu ya fegi nilifarijika sana
week na siku kadhaa...lkn kuna muda nanusa muda mwengine sihisi harufu yoyote?Baada ya siku ngapi mkuu?
Mmejaribu kunusa kimba aka kiwele??Mm na wiki tatu si sikii harufu na nianao ishi nao pia hawaskii harufu yoyote
Hii dawa naipataje au waweza kunifahamisha inavyotengenezwaTumia dawa ya NIMRcafe ni nzuri ina mchanganyiko wa limao, pilipili kichaa, tangawizi na vitunguu swaum na vitunguu maji.
Mhh nimeenda hosptal nimepewa dawa tuMkuu iyo itakuwa fistula wahi fasta kituo chochote cha afya kilicho karibu yako
Nipe jinsi ya kuvitumia hivi vitu plsTangawizi +limao ni dawa
kumbe bado korona ipo Tz ?Tangawizi +limao ni dawa
Hapo ulipo unaweza itengeneza kwa kublendi mchanganyiko wa limao,tangawizi,vitunguu maji na vitunguu swaum pamoja na pilipili kichaa. Inatumia kijiko cha chakula kila baada ya saa 8 .siku 3 tu utakuwa umepona. Dawa inapatikana Dar mimi kwa rafiki yangu alinipatia.Hii dawa naipataje au waweza kunifahamisha inavyotengenezwa
kumbe bado korona ipo Tz ?