Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,701
- 6,658
Asante sana broPole mkuu.
Utapona
Asante sana broPole mkuu.
Utapona
shukrani mkuuNimesha kuwekea majibu tumia siku 21 uıtapona maradhi yako.
pole mkuu, me nikajua ni hali ngeni kumbe tupo wengiLeo nimeogopa hi shida ninayo leo siku ya 2 ngoja nipige dozi
shukrani mkuu...nimeanza fuata maelekezo ya wachangia mada
pole mkuu, me nikajua ni hali ngeni kumbe tupo wengi
ahsante sanaPole nawe chief
Dalili ya covid19
Tafadhali wapi vipimo hospital. Watu wangu wa Karibu waliougua COVID-19 hiyo ni moja ya dalili. Wakati ukifanya hivyo endelea KUIMARISHA kinga kama tunavyoelekezwa au kujifunza kupitia mitandao.Ni week na nusu sasa nimepoteza hisia ya kunusa.Nikijipulizia perfume sisikii kabisa naweza menya chenza lakini sisikii harufu.Sina mafua hata kidogo.
Tafadhali wapi vipimo hospital. Watu wangu wa Karibu waliougua COVID-19 hiyo ni moja ya dalili. Wakati ukifanya hivyo endelea KUIMARISHA kinga kama tunavyoelekezwa au kujifunza kupitia mitandao.
Duuh! Pole sana!Ni week na nusu sasa nimepoteza hisia ya kunusa.Nikijipulizia perfume sisikii kabisa naweza menya chenza lakini sisikii harufu.Sina mafua hata kidogo.
Tafadhali wapi vipimo hospital. Watu wangu wa Karibu waliougua COVID-19 hiyo ni moja ya dalili. Wakati ukifanya hivyo endelea KUIMARISHA kinga kama tunavyoelekezwa au kujifunza kupitia mitandao.
Bora wewe!Ni week na nusu sasa nimepoteza hisia ya kunusa.Nikijipulizia perfume sisikii kabisa naweza menya chenza lakini sisikii harufu.Sina mafua hata kidogo.
Mi naende week ya pili sasa, alhamdullilah nmeanza kusikia harufu japo kwa mbali sana.Leo nimeogopa hi shida ninayo leo siku ya 2 ngoja nipige dozi