Amina juma1
Member
- Jun 22, 2020
- 9
- 3
OkHapo ulipo unaweza itengeneza kwa kublendi mchanganyiko wa limao,tangawizi,vitunguu maji na vitunguu swaum pamoja na pilipili kichaa. Inatumia kijiko cha chakula kila baada ya saa 8 .siku 3 tu utakuwa umepona. Dawa inapatikana Dar mimi kwa rafiki yangu alinipatia.