Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,904
Ni sawa lakini tuangalie madhara kuliko faida kwenye hili...hivi kweli tujenge immune kwa kuharibu kucha zetu? Hili ni tatizo kubwa kuliko hilo na kuwa na kinga ya magonjwa BufaKwenye hili la kucha nakubaliana nao kabisa. Nawajua watu kadhaa wa karibu walaji kucha waliobobea kitu kimoja kuhusu hawa jamaa huwa hawaumwi na kila kitu wao wanakula tu. Kama umesoma article inasema ulaji kucha kwa watoto ina maana watakula na uchafu na hatimaye mwili wao kujenga immunity ili kupambana na magojwa hivyo immunity zao kuwa strong zaidi. Nadhani ni very reasonable
Uzuri/ubaya wa kitu tunapima kwenye mizani...je itaegemea upande upi? Wa faida ama hasara?