LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,656
Nipo Tanga uko wapi mkuu mimi nipo Tanga hutembelea Dar kila baada ya miezi mi 3Hapana hizi ni kwa ajili ya Ladha ishu ya kisaikolojia ukipenda ni mpaka tuonane
Nipo Tanga uko wapi mkuu mimi nipo Tanga hutembelea Dar kila baada ya miezi mi 3Hapana hizi ni kwa ajili ya Ladha ishu ya kisaikolojia ukipenda ni mpaka tuonane
Nipo ila huwa nakuja huko mara kwa mara takuambia nikija tenaNipo Tanga uko wapi mkuu mimi nipo Tanga hutembelea Dar kila baada ya miezi mi 3
Sawa nitashukuruNipo ila huwa nakuja huko mara kwa mara takuambia nikija tena
Kipengele cha hulka na kuiga pia hukukiona? Na kuna mahali pia nimesema ni kizalia pia hukuona hapo? Sababu za kula kucha zipo nyingi kwahiyo huwezi kutumia kigezo kimoja tu.....mshana jr nimeanza kula kucha kabla sijaanza kusoma chekechea mpaka sasa hivi naendelea kula kucha na watoto wangu nao wanakula kucha kama kawaida.
nakupinga unaposema kula kucha ni dalali ya uoga,kutojiamini,upweke nk
27 years old mshana il tatzo n la ktambo sanaSorry una umri gani? na tatizo lina muda gani?
Mmh ok ok! Umejaribu hizo baadhi ya tiba zilitajwa kwenye hii mada?27 years old mshana il tatzo n la ktambo sana
It's a problem but you are not aware of itMie nina mtindo huo na siuiti tatizo Cz it doesn't affect me kiakili wala kimwili. ts kinda funny and stress relief wen u got nothing to do. Huwa am trying to stop it during Ramadan tuu
ndo naanza kuzfanyia kaz mshana naitaj msaad wako zaid.Mmh ok ok! Umejaribu hizo baadhi ya tiba zilitajwa kwenye hii mada?
Nakuombea sanando naanza kuzfanyia kaz mshana naitaj msaad wako zaid.
Ndio ulaji uoMi simlaji sana ila hufuga vikucha vyangu ila zikizidi nazipunguza kwa kuzigata mwenyewe
hivi ile ya mdada kutongozwa anasugua mguu na kula kucha ulipitiaga?Acheni kula kucha, vidole vinakua kama tangawizi...
mshana jr hivi hii ya kusugua mguu chini wakiupinda pinda na kula kucha kwa wadada wanaotongozwa mara ya kwanza unaweza kuidadavua kesho?yaani mahusiano yake na nguvu za kimwili na kiroho??asanteNakuombea sana
Hahhahahaaaa kuna vitu vitatu vinahusikamshana jr hivi hii ya kusugua mguu chini wakiupinda pinda na kula kucha kwa wadada wanaotongozwa mara ya kwanza unaweza kuidadavua kesho?yaani mahusiano yake na nguvu za kimwili na kiroho??asante
hivi ile ya mdada kutongozwa anasugua mguu na kula kucha ulipitiaga?
ha ha ha ,dogo we wa ki sure,a.k.a mboga 7.sisi tulikuwa tunavizia watu toka mtoni mtoto akiweka kidole mdomoni kazi kwishney.unamnyonga mkono mpaka biashara iishe.twih twihHapana, sikuiona