Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
Jaribu kufanya hilo, lakini naye ajiandae maana wengine anaweza kuwa anatafuna big g na kucha ipo mdomoni.Duh! Nitajaribu kufanya hivyo akija likizo, akirudi kutoka shule ndio utazionea hadi huruma, kucha mbaya
