kutafuna kucha ni moja ya bangi/alosto

Mimi siku moja nilijiuliza hivi huu upuuzi hadi lini?
ntakuwa mke wa MTU siku moja. na watoto bado natafuna kucha watanielewaje..?
maana ukianza kutafuna unakua Kama zezeta husikilizi unachoambiwa hufanyi unachofanya mpaka umalize...
halafu hata kumpa MTU mkono unaona aibu umetafuna na ngozi vidole vibayaaa...
nikasema sasa nafuga mkono wa kushoto kulia natafuna..
nikakaza hadi leo.. mkono wa kushoto Una kucha nzuriii...
nikahamia kulia nikasema nakula vidole vwili tu... vitatu nikafuga ndo had I Leo
huwezi kuacha kabisa tena vidole vya kutafuna co vyote