Tatizo la kula/kutafuna kucha

Tatizo la kula/kutafuna kucha

Kuna mtu alikuwa anakula nywele, naye alihamia hadi za uani.
So do something, fuata ushauri ulopewa. Isipowork, kuna healer mmoja ambaye hakuna kisichotibika.
hahahahahaha, you're crazy!
 
Kuna mtu alikuwa anakula nywele, naye alihamia hadi za uani.
So do something, fuata ushauri ulopewa. Isipowork, kuna healer mmoja ambaye hakuna kisichotibika.

Hahahahahahahaaha.....duuuh....hajapata madhara yoyote huyo mla nywele???
 
Hahahahahahahaaha.....duuuh....hajapata madhara yoyote huyo mla nywele???
lazima atapata madhara kwasababu hizo nywele zinajikusanya kwenye tumbo haziwi digested zinaweze zikusanyike na zibabishe madhara makubwa!
 
MziziMkavu toka apate mke huku simuoni one tena,
msubirie amalize fungate pengine atakupa msaada.
 
Last edited by a moderator:
Kuna mtu alikuwa anakula nywele, naye alihamia hadi za uani.
So do something, fuata ushauri ulopewa. Isipowork, kuna healer mmoja ambaye hakuna kisichotibika.

duh!! hili la nywele nalo....
 
Tunalo wengi hilo tatizo mm pia nakula sana nkiona nimekosa mkonon sina.tena navuta mguu yaan we.acha tu sipend hii tabia lkn.mazoea yana tabu na sijui hata nifanyej mana.mpka.naumia hv vidole nakula mpka.ngoz za pemben
 
Seriously, I wish ningekuwa na imani kama yako.

Kuna mtu alikuwa anakula nywele, naye alihamia hadi za uani.
So do something, fuata ushauri ulopewa. Isipowork, kuna healer mmoja ambaye hakuna kisichotibika.
 
nna kula kucha hatari wanajamii

nipeni madhara yake....hizi kucha zimeisha hadi nazichimba ntahamia za mguuni sooon...:car:


Ninachofahamu ni: madhara baadae ya Mtindio wa ubongo, siwezi kufafanua zaidi ila nilipata kujua hilo kutoka kwa daktari. kisababisho cha kula kucha nacho ni kukosa uBUSY kwenye mikono yako, jitahidi kujisahaulisha kwa kufanya vitu vitakavyo weza fanya mikono yako iwe busy ili usiweze kula kucha. Maana inapelekea wakati mtu vidole vinapoteza muonekano mzuri kwa kucha kuwa ndogo ndogo.

Ukiweza cheza games itasaidia kuacha kula kula kucha!
:rapture:
 
Hivi ni ipi dawa ya kuacha kula kucha maana sasa naelekea pabaya.
 
Ooh pole sana ila hiyo ni dalili kwamba uko romantic na inatakiwa umpate kidume anaekumaliza hamu yote,utashangaa unaacha kula.

so kama naona muda bado wa kua na huyo mtu hamna tiba mbadala nyingine maana mi nakukubali sana kwa ushauri tu big up
 
Unaposema unakula kucha je unazimeza? Unajua tofauti ya kula na kutafuna? Nakama unakula hizo kucha inakuaje unashiba?
 
Je unazisafisha hizo kucha zako kabla ya kuzitafuna?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom