Tatizo la kula/kutafuna kucha

Tatizo la kula/kutafuna kucha

Nakumbuka nilipokua mtoto nilikua na hiyo tabia ya kunyonya kidole gumba na kutafuna kucha,mama akawa ananikata kucha ya kidole kumba mpaka inatoa dam kila anapokuta nimeitafuna so nikijisahau na kuanza kukinyonya kinauma so nikajitahidi kufuga ile kucha ili mama akinikagua anakuta ukucha na kukata bila kuniumiza mpaka nikaacha kbs!
 
Ukiamka asbh usinyonye kidole bali kitafune kabisa uondoe usumbufu
 
bebii nimekwambia twende kwa mganga pale Michungwani hutaki.....ungekuta umeshapona.....
 
bebii nimekwambia twende kwa mganga pale Michungwani hutaki.....ungekuta umeshapona.....

bebii..twende jumapili hii..kabla ya mechi ya Simba na Setif..nakuchukulia leo tiketi ya VIP kabisa....mzima lakini mybebii...
 
bebii nimekwambia twende kwa mganga pale Michungwani hutaki.....ungekuta umeshapona.....

bebii..twende jumapili hii..kabla ya mechi ya Simba na Setif..nakuchukulia leo tiketi ya VIP kabisa....mzima lakini mybebii...
 
bebii..twende jumapili hii..kabla ya mechi ya Simba na Setif..nakuchukulia leo tiketi ya VIP kabisa....mzima lakini mybebii...

ok bebii yangu.....tutakwenda kabisa....umeoga leo..?
 
ok bebii yangu.....tutakwenda kabisa....umeoga leo..?

hahahahahaha...nilifuata ule ushauri wa best wa jana....na kesho na tafuta Kiboko Sim Tank....
 
hahahahahaha...nilifuata ule ushauri wa best wa jana....na kesho na tafuta Kiboko Sim Tank....

lakini bebii...kwa nini tusihamie iliyokuwa zamani Kempiski hadi hii hali iishe....?

 
lakini bebii...kwa nini tusihamie iliyokuwa zamani Kempiski hadi hii hali iishe....?

zamani kempiski ya zanzibar?....ila mie pale Coral Beach masaki ndio napapenda....
 
Ukisha litambua tatizo kama hili la kisaikolojia , kinachofuata ni HIARI yako na Utayari wako kuacha, na kuamua kuutekeleza

Hakuna DAWA ya kunywa au kupaka
 
duh, hebu semeni dawa.
Kuna mtu anapenda na yeye kunyonya kijidole nimsaidie lol
 
Kuna dawa ya kupaka kwenye hizo kucha na kuzifanya ziwe chungu kwahio utaepuka kuzitafuna!
 
Kuna dawa ya kupaka kwenye hizo kucha na kuzifanya ziwe chungu kwahio utaepuka kuzitafuna!
Ndio na mimi nilitaka kumshahuri. achukue tu cutex nyeupe
aongeze ndani liquid quinine kidogo (ipo chemist yoyote)
Then awe anapaka kucha regularly. Atajiachia mwenyewe
 
Kuna mtu alikuwa anakula nywele, naye alihamia hadi za uani.
So do something, fuata ushauri ulopewa. Isipowork, kuna healer mmoja ambaye hakuna kisichotibika.
 
Madhara utakayoweza kuyapa kwa kula Kucha ni kupata magonjwa kama
1.Kuharisha
2.kipindupindu kwa sababu kucha na mkono huo ndio unaotumia kule Toilet sasa kuna uwezekano wa uchafu kukaa katika kucha na kishaa wewe kuja kuzitafuna hizo kucha hivyo utakuwa unakula uchafu toka kwenye kucha!!
Kingine. Bacteria unaweza pata kwa sababu baada ya kuzila huo mkono utauacha na mate hivyo wanaweza kuingia katika mkono au vidole na kuweza kusababisha bacteria kupenya na kusababisha vidonda ambavyo vitakusumbua kupona acha tabia Hiyo Mara moja kwa msitakabali wa Afya yako!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom