Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Hivi kuna refa wa Tanzania ameenda kusomea urefa nje kweli au kupata mafunzo nje ya Tanzania?
Ukiangalia karibia wote ni sawa hamna mwenye uafadhali, mwingine unakuta mchezo mzima anaharibu,mwingine atachezesha vizuri lakini kuna sehemu anakuja kuchemka.
Labda hawana elimu tunalaumu kupewa bahasha na upenzi wa hizi timu kubwa.
Naomba kufahamu ni vyuo gani au taasisi gani inatoa marefa wajinga hivi hapa Tanzania? Mfano hai ni Kayoko unaweza ukadhani ni refa makini na serious lakini umakini wake ni kukodoa macho tu lakini haoni.
Wizara iwapeleke nje hata watu 20 hivi wakasomee kozi fupi nje halafu warudi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiangalia karibia wote ni sawa hamna mwenye uafadhali, mwingine unakuta mchezo mzima anaharibu,mwingine atachezesha vizuri lakini kuna sehemu anakuja kuchemka.
Labda hawana elimu tunalaumu kupewa bahasha na upenzi wa hizi timu kubwa.
Naomba kufahamu ni vyuo gani au taasisi gani inatoa marefa wajinga hivi hapa Tanzania? Mfano hai ni Kayoko unaweza ukadhani ni refa makini na serious lakini umakini wake ni kukodoa macho tu lakini haoni.
Wizara iwapeleke nje hata watu 20 hivi wakasomee kozi fupi nje halafu warudi.
Sent using Jamii Forums mobile app