ha ha ha ha FIDE umenichekesha eti usipokunywa huapati usingizi mmm!! ...MAMMAMIA asante kwa ushauri wako mzuri , ila hiyo ya kupaka maji mmm! sidhani kama kuna utofauti na mtu asiyepaka mafuta,,hilo la usofti ni kweli ksb miguu yangu ni lain sana kiasi kwamba ikitokea nimetembea bila viatu (mfano nikienda kijijini kusaidia kazi za shamba ) basi unyayoni yanatokea malengelenge ila inakuwa siyo issue kubwa kwa 7bu naenda kwa muda mfupi so nikirudi mjini napona...ila naamini kuwa ni la kisaikolojia zaidi ndiyo maana nisipopaka sipati usingizi,,,kwa vile halina madhara wala halinikeri basi ntaendelea tu kupaka,,ila niliuliza nikidhani labda usingizi na mafuta labda kuna uhusiano wowote kitaalam...
FIDE, mimi napaka mafuta sehemu zote iwe sehemu ya baridi au joto ni lazima nipake,,na sipaki mengi kama unavyofikiri kuwa lada naweza kutumia kama shuka ,,napaka kawaida tu kama apakavyo mtu yoyote mradi yafike mpaka unyayoni.
ASANTENI SANA WOTE KWA MAJIBU YENU YOTE MAZURI........MUNGU AWAZIDISHIE HEKIMA, BUSARA NA MAARIFA ZAIDI.