Tatizo la kuchukia watu bila sababu

Habari WanaJf
Jamani nauliza, kwa waliowahi kufikwa na adha hii au wanaofahamu; unaweza kukutana na mtu labda anaishi mitaa yenu ukamchukia bila sababu, ilihali hajawahi hata kukusemesha, hana tabia mbaya yaani ndo kwanza umemuona na hakuna sababu ya kumchukia lakini automaticaly unajikuta humpendi tu...

Au unakuwa na rafiki kipenzi kabisa, lakini ghafla tu unamchukia bila sababu, anaweza kupiga simu usipokee, akikuuliza tatizo huna jibu la kueleweka, ukimwona hutaki hata kukaa nae karibu yaani unatokea kumchukia tu.

Waungwana hii inatokana na nini? kuna namna fulani kiimani au?

Wajuzi mnaofahamu hali hii nifahamisheni
Uchawi unakusumbua mkuu. Acha kabisa kupaa usiku utaona hiyo tabia inaisha.
 
Wachagga wanaongoza kwa kuchukiwa na watu flani siwataji, ila hao watu wanajijua, na hao watu wanamwamini Mungu/Yesu ila wana chuki mpaka basi
 
Chuki uletwa na roho mbaya, choyo, husda..binadamu uwez kumchukia tu mtu bila sababu sababu znakuweko nying tu kwenye nafsi yako ...na moja ya sababu hzo ni hzo nlzotaja hapo juu... mtu anaweza mchukia mwenzie kwa ajili ya uzur alojaliwa masha allah mwngne anamchukia mwenzie maisha yake mazur au anabahat ya kupendwa.. au ukmuona unahisi anaringa wakat hata kuongea nae ujawah... mwngne unachukia et kisa anakula vzr... yan yotr na sababu yeyotr ile usababishwa na choyo, husda... roho mbaya... tena ukiish kfua chako kikiwa kimebeba chuki na roho mbaya utakuwa mtu wa stress na hata mafankio yako madogo na hata ukipata makubwa utakuwa huna raha nayo maana anayechukia anaumia zaidi kuliko anayechukiwa... kama una tabia za kuchukia watu ziache haraka sana.. binadamu mwenye ubinadam kamil ni yule ambaye akishajigundua ana tabia fulan mbaya au anaanza kuwa na tabia fulan mbaya ubadili haraka mfumo wa nafsi yake
 
Chuki uletwa na roho mbaya, choyo, husda..binadamu uwez kumchukia tu mtu bila sababu sababu znakuweko nying tu kwenye nafsi yako ...na moja ya sababu hzo ni hzo nlzotaja hapo juu... mtu anaweza mchukia mwenzie kwa ajili ya uzur alojaliwa masha allah mwngne anamchukia mwenzie maisha yake mazur au anabahat ya kupendwa.. au ukmuona unahisi anaringa wakat hata kuongea nae ujawah... mwngne unachukia et kisa anakula vzr... yan yotr na sababu yeyotr ile usababishwa na choyo, husda... roho mbaya... tena ukiish kfua chako kikiwa kimebeba chuki na roho mbaya utakuwa mtu wa stress na hata mafankio yako madogo na hata ukipata makubwa utakuwa huna raha nayo maana anayechukia anaumia zaidi kuliko anayechukiwa... kama una tabia za kuchukia watu ziache haraka sana.. binadamu mwenye ubinadam kamil ni yule ambaye akishajigundua ana tabia fulan mbaya au anaanza kuwa na tabia fulan mbaya ubadili haraka mfumo wa nafsi yake
Nadhani wakuu hamnielewi nna tatizo gani...
unaweza kuwa na dalili za uvimbe kwenye kizazi ,lakini kumbe una hormone imbalance
Dalili zinafanana.... unachokisema sicho kwasababu nawahitaji pia ,ila nashindwa kuwa karibu nao ,siwezi kudanganya nafsi yangu kuwa wamenitoka moyoni na sijui kwanini
.
.labda wamenikosea mahala ambapo sipagundui
or siwahitaji tena kwenye maisha yangu etc
ndio maana nmetaka muongozo wenu

ila sio wivu ,sina sababu ya kuwaonea wivu kabisa. na sinaga hicho kitu
 
Habari WanaJf
Jamani nauliza, kwa waliowahi kufikwa na adha hii au wanaofahamu; unaweza kukutana na mtu labda anaishi mitaa yenu ukamchukia bila sababu, ilihali hajawahi hata kukusemesha, hana tabia mbaya yaani ndo kwanza umemuona na hakuna sababu ya kumchukia lakini automaticaly unajikuta humpendi tu...

Au unakuwa na rafiki kipenzi kabisa, lakini ghafla tu unamchukia bila sababu, anaweza kupiga simu usipokee, akikuuliza tatizo huna jibu la kueleweka, ukimwona hutaki hata kukaa nae karibu yaani unatokea kumchukia tu.

Waungwana hii inatokana na nini? kuna namna fulani kiimani au?

Wajuzi mnaofahamu hali hii nifahamisheni
Kapime mimba
 
Back
Top Bottom