Kafanye pregnant test
Halafu tangu nizaliwe sijasikia wala kuona MJAMZITO anayechukia hela hahahhahahaha
Kafanye pregnant test
HahahahahahahaHaiwezekani Kumchukia Mtu bila sababu......................Jitafakari vizuri utajua kwa nini Unachukia....................!!!! Kuna mwenzio alisema hivyo hivyo, alipobanwa zaidi akafunguka ya kuwa anamchukia kwa vile ile Midomo yake eti imebinuka kwa hiyo anahisi kama vile ANAJIDAI................ndiyo maana yeye anamchukia.....................!!!
et eehInaweza kuwa ni wivu, kama amekuzidi ama kawa na kitu fulani bora zaidi yako.
Kingine pengine inaweza kuwa ni kawa na tabia huipendi ama hakuwa nayo awali.
mmefanya hamna kituKafanye pregnant test
Labda nipate kwa uwezo wa utakatifu...Huna mimba kweli?
Andaa pampers
mimi hii kitu nnakuaga nayo sana.Ni ngumu sana kumchukia mtu bila ya sababu, lazima huenda kuna sababu ambayo inakuwa ngumu kuitambua.
Labda sura yake au sauti yake au muonekano wake au uvaaji wake unakukumbusha kitu kibaya hapo nyuma.
Mfano, kuna mtu alikufanyia ukatili hapo nyuma kisha baadae unakutana na mtu mwingine tofauti kabisa, lakini kuongea kwake au muonekano kunafania na yule aliyekufanyia kitu kibaya hapo nyuma. Hivyo inakukumbusha juu yake na hivyo unaanza kumchukia bila sababu.
Au kuna wengine wale wenye nguvu za ziada, kwa kumtazama mtu tu, anatambua kuwa huyu mtu ni mbaya hata kama hajawahi kumtenda au hata kuzungumza naye. Hivyo anajikuta anamchukia tu bila sababu za Msingi.
Jichunguze vema, lazima kuna sababu inayokufanyia umchukie.
Jibu pekee nililolionaInaitwa INFERIORITY COMPLEXION. Una shida ya kupenda kujilinganisha na watu unaokutana nao kwa uzuri, mali na hata social acceptance. Unafanya haya bila kujijua na pale unapoona mtu huyo amekuzidi kwenye hilo unalojilinganisha naye na hakuna unaloweza kufanya, unamjengea chuki.
Believe me, huwachukii bila sababu.
Najitahidi kutafuta sababu....maranyingi huwa kunakitu kinafanya umchukie mfano, yawezekana kuvaa kwake, au life style yake, au kunakitu ulisikia au kuona kwake ambacho kikaingia ndani ya kichwa chako then unakuta we hupendi kitu ka hicho so huwa kunavitu vidogo vidogo ambavyo hutokea sema huvigundui kisa hujaamua kufuatilia kwa kina tatizo ni nini
Sinaga chukiIpo namna flani kiimani,unahitajika kufanyiwa maombi,yawezekana una majinubi,au una roho ya chuki ambayo umerithi kutoka kwenye ukoo wenu,jaribu pia kufuatilia ndani ya ukoo wenu kama kuna mtu mwenye tabia kama hizo,ila kwa yote hayo kwa Yesu hayana nafasi..
kusema kweliInaitwa INFERIORITY COMPLEXION. Una shida ya kupenda kujilinganisha na watu unaokutana nao kwa uzuri, mali na hata social acceptance. Unafanya haya bila kujijua na pale unapoona mtu huyo amekuzidi kwenye hilo unalojilinganisha naye na hakuna unaloweza kufanya, unamjengea chuki.
Believe me, huwachukii bila sababu.
kabla....Hilo tatizo limeanza awaimu hii ya anko magu? ama lilianza awamu zilizopita?
kwakweli nikapime mkojoHa ha ha akapime mkojo siyo???
Afadhali atleast umenisaidia wengine hawanielewiHii pia huwa inasababishwa na mambo ya kiroho, unapaswa luwa MTU wa MAOMBI na kusali ukikemea hiyo hali na itaisha hats Mimi nilikuwa hvyo
nafikiri kila mwenye chuki ni mchawi huyu mkuu ana lake jamboKwa hiyo jamaa anavyowachukia jamaa, kwa hiyo na yeye ni mchawi?
Siri sirini hiyoo nimekuelewa Mkuu...........Hahahahahahaha
kusema kweli mm sioni sababu
Nashukuru Kwa Mchango wenu wakuutabia za wanawake na wadada. ila huwa halidumu muda mrefu anarudi kwenye mstari.
Kwa Dada zetu hiyo kawaida mbona
mm sizipendi
Halafu tangu nizaliwe sijasikia wala kuona MJAMZITO anayechukia hela hahahhahahaha