princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,687
- 19,357
- Thread starter
- #61
Hv kuna mtu anaroga usimpende mwenzio...Umerogwaa au ni financial stress?
siamini katika kurogana
fin stress hapana kwakweli
Hv kuna mtu anaroga usimpende mwenzio...Umerogwaa au ni financial stress?
Huna??? Kwani yule Mzee wake na aliyekuwa boyfriend wako aliyekugegedaga mliachana?Labda nipate kwa uwezo wa utakatifu...
hata bwana sina naipataje sasa[emoji23] [emoji23]
Sawa MkuuDesturi ya moyo wa binadamu ni mwepesi kutengeneza sababu ya kuhalalisha maamuzi yake. Hata mwizi akiiba hujipa kila sababu kuwa ni halali kwake kufanya hivyo. Halkadhalika na pale unapokuwa na chuki, huwezi kuamka tu ukasema fulani namchukia. Daima kunakuwa na chimbuko ila pengine halina uzito sahihi wa kuhalalisha chuki yako unajaribu kutofikiria hilo chimbuko.
Imeshakuwa ni mfumo wa maisha yako ya kuwa ghafla unamchukia mtu pasi na sababu maalum, hiyo ni ishara tosha kuwa mwenye tatizo ni wewe. Kaa chini utafakari, hasa kwa wale uliokuwa nao karibu na ukawachukia, niamini utajua tatizo lilipo. On a psychological point of view, ukijichunguza saa utakuta ni mtu wa hasira za haraka, unakerwa na vitu vidogo na mgumu kusamehe. Na hapa ndipo pakuanzia kutafuta suluhu ya tatizo lako.
Hakuna kitu kinatokea ama kumchukia mtu bila sababu. Wivu ni kidonda umeshiriki ugua poleeet eeh
maana nna rafiki yangu Wa Tangu
primary...
tukaja tukafaulu wote secondary moja tukasoma
tumekua kama ndugu sasa
hajanikosea chochote Tuko zaidi ya miaka 15 lakini jamani saivi najikuta simpendi mpaka najishangaa yani sababu hakuna
Hizi ni dalili za uchawi, soon utaanza kuruka na ungo kabisa.Habari WanaJf
Jamani nauliza, kwa waliowahi kufikwa na adha hii au wanaofahamu; unaweza kukutana na mtu labda anaishi mitaa yenu ukamchukia bila sababu, ilihali hajawahi hata kukusemesha, hana tabia mbaya yaani ndo kwanza umemuona na hakuna sababu ya kumchukia lakini automaticaly unajikuta humpendi tu...
Au unakuwa na rafiki kipenzi kabisa, lakini ghafla tu unamchukia bila sababu, anaweza kupiga simu usipokee, akikuuliza tatizo huna jibu la kueleweka, ukimwona hutaki hata kukaa nae karibu yaani unatokea kumchukia tu.
Waungwana hii inatokana na nini? kuna namna fulani kiimani au?
Wajuzi mnaofahamu hali hii nifahamisheni
Una hitaji kufanya tahajudi.Hv kuna mtu anaroga usimpende mwenzio...
siamini katika kurogana
fin stress hapana kwakweli
Asante kwa somoSometime huyo unayemchukia huenda mwonekano wake ukawa sio mzuri kwako ikampelekea kumchukia
Lakini Neno la Mungu linasema mwenye chuki ni muuaji ikiwa kuna sababu au lah hupaswi kunchukia mtu
Ikiwa kibinadamu kama hakudai, hakufanyii baya lolote na yeye anakusalimia tu vzr iweje umchukie?
Unamchukia halafu ukipata tatizo anakuwa wa kwanza kukusaidia how did you feel
Kumchukia kwa sababu au bila sababu sio vzr Ki Mungu, na Mungu anajua maana ya kusema hivyo kwamba unayemchukia yeye bado anampenda na ndio maana amempa uhai sasa ikiwa Mungu anampenda iweje umchukie?
Aliyesema ni mchawi hajakosea maana mchawi anafanya mabaya bila hata sababu yoyote
Tafsiri ya chuki ni kwamba heri afe au auumie au apate mabaya ndipo kwako inakuwa raha sasa hayo sio maisha maana ukimchukia ndio anazidi kufanikiwa
Hata ukitongoza mwanamke akikataa usimchukie huwezi jua unaepushwa na nn ndio maana ndoa nyingi zinafarakana coz pengine walilazimishana kuoana
Chuki sio tunda zuri kama upendo mpende tu atakukumbuka akifanikiwa
et eehPsychological welfare,kuna mtu anaweza kaamka tu kakasirika bila sababu kuna siku pia mtu huyo huyo anakua na furaha isiyo kifani.
ndio niniUna hitaji kufanya tahajudi.
kuja kwenu kukufata tukaroge woteHizi ni dalili za uchawi, soon utaanza kuruka na ungo kabisa.
Nafikiri ,maana nmekaribiaKwa wadada wengine wakiwa period ni chuki tu
Asante MkuuHakuna kitu kinatokea ama kumchukia mtu bila sababu. Wivu ni kidonda umeshiriki ugua polee
Hate without reason. Really? Inatakiwa ujichunguze mkuu.Asante Mkuu
Ila huwezi kumjua mwenye wivu kama Hujashiriki wivu.... Hello mwenye wivu mwenzangu[emoji136] [emoji136] [emoji136] [emoji136]
nisaidie kujichunguzaHate without reason. Really? Inatakiwa ujichunguze mkuu.
Njoo PM. tuone tunafanyajenisaidie kujichunguza