Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Kwa kweli kama kuna kitu ambacho sijui ni ushamba,kukosa picha/habari au matukio ,blogs zote za TZ zinakopy matukio kutoka moja kwenda nyingine.
ni nadra sana kuona picha au tukio moja katika blog x na husiikite katika blog y kwa nini?
naongelea hasa zile blogs maarufu
ni nadra sana kuona picha au tukio moja katika blog x na husiikite katika blog y kwa nini?
naongelea hasa zile blogs maarufu