Tatizo kubwa la Serikali ya CCM ni Denial

Tatizo kubwa la Serikali ya CCM ni Denial

Tanzania ilianza kuharibiwa na nyerere. Ushahidi unaotaka kuniambia mimi nikupe ni impractical na hauja reason well kuniomba huo ushahidi

Tabia za kutumia USALAMA wa Taifa ku silent probers alianza Nyerere : tofauti yake na hawa wa sasa yeye alifanya kwa siri… watu hawakuwa wanatekwa hadhqrani . JK ndio alianza mambo ya kuteka hadharani….. Samia na JPM ni continuation

Suali la msingi, nchi utaishi kwa kukataa maoni na critics hadi lini!?
Generation ya sasa ni tofauti sana ; kama CCM wasipoelewa hili … hatari ni kubwa sana ahead . Ni bomb in the making
Badala ya kutumia huo muda kutapika essay useless online.

Ungekuja na ushahidi wa HOJA, SHERIA, MATUKIO na MAANDISHI.
 
Back
Top Bottom