imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,405
Ningeshangaa Zezeta la CCM lingejibu hoja yangu kwa ufasaha.Wote
Ningeshangaa Zezeta la CCM lingejibu hoja yangu kwa ufasaha.Wote
Hebu onyesha wapi nilileta porojo sio unaropoka hovyo😂😁Kwanza mlileta porojo kwamba Wananchi hawatajitokeza , baada ya Nyomi mnaleta porojo zingine kwamba walisombwa na mabasi !
Kwahyo wakiwa wengi alafu wasiwe na ujumbe nini kinatokea muda mwingine tukubali kilichofanyika ujumbe umefikaNo ya watu kwenye maandamano yoyote huwa na impact kubwa kuliko hata hayo mabango waliyobeba.
Kwani kwa makadirio yako unahisi ni watu wangapi wamefikishiwa ujumbe au ni serikali ndio ilitakiwa kufikishiwa ujumbe? Idadi ya waandamanaji inaweza isiwe kubwa ila watakao pata habari ni wengi ndio maana kulikua na media karibu zote jambo limetangazwa hadi dw unatarajia ni nchi ngapi zimejua kua kuna maandamano na sababu zake ni zipi....Manyumbu ni chadema, kama lengo ni kufikisha ujumbe bila kujali idadi ya watu wanaofikishiwa huo ujumbe hakukuwa na haja ya maandamano. Hata humu jf ujumbe unafika tuu.
Maana yake yale matembezi yenu ya hiyari yamefanikiwa bila kujali idadi ya watembeaji.
Ni kweliHili ndio Tathimini yangu ya maaandamano ya Chadema
1.CHADEMA Kwa Dar es salaam Haina nguvu Tena hii ni kutokana na idadi ndogo.ya waandamanaji waliojitokeza . Bodaboda walikuwa wachache na machinga walikuwa wakiendelea na biashara kama kawaida nk tofauti na kabla ya 2015 makundi hayo yalikuwa ndio nguvu kuu ya Chadema
2.Waandamaji wengi walitoka mikoani .Hili lilitamkwa na mama mmoja live kwenye gari ya matangazo akisema sisi tumetoka Morogoro kuja kuandamama nyie watu wa Dar es salaam mnatuangalia tu
3.Maandamano yalipita sehemu zenye watu wengi kama Kariakoo au Manzese na Buguruni lakini watu walikuwa hawaongezeki Kujiunga na maandamano tofauti na miaka ya nyuma kufikia 2015
4.CHADEMA inaonyesha kutelekeza baadhi ya wilaya au imekata tamaa nazo wilaya hizo ni Kinondoni na Temeke huko naona hawakuwashirikisha kikamilifu Wala kuwa na route za kuanzia maandamano huko
Kama ni ubunge CHADEMA naweza kusema jimbo la ubunge Dar es salaam wamelipoteza. Dar Ina watu milioni Tano na zaidi Kwa idadi ile ya watu waliojitokeza nadhani viongozi wa CHADEMA watakuwa hawakulala Kwa mawazo
Tathmini Ili Ikamilike Iwekwe na Waliopinga maandamano nao waandae maandamano waeleze sababu za kupinga kwao!Hili ndio Tathimini yangu ya maaandamano ya Chadema
1.CHADEMA Kwa Dar es salaam Haina nguvu Tena hii ni kutokana na idadi ndogo.ya waandamanaji waliojitokeza . Bodaboda walikuwa wachache na machinga walikuwa wakiendelea na biashara kama kawaida nk tofauti na kabla ya 2015 makundi hayo yalikuwa ndio nguvu kuu ya Chadema
2.Waandamaji wengi walitoka mikoani .Hili lilitamkwa na mama mmoja live kwenye gari ya matangazo akisema sisi tumetoka Morogoro kuja kuandamama nyie watu wa Dar es salaam mnatuangalia tu
3.Maandamano yalipita sehemu zenye watu wengi kama Kariakoo au Manzese na Buguruni lakini watu walikuwa hawaongezeki Kujiunga na maandamano tofauti na miaka ya nyuma kufikia 2015
4.CHADEMA inaonyesha kutelekeza baadhi ya wilaya au imekata tamaa nazo wilaya hizo ni Kinondoni na Temeke huko naona hawakuwashirikisha kikamilifu Wala kuwa na route za kuanzia maandamano huko
Kama ni ubunge CHADEMA naweza kusema jimbo la ubunge Dar es salaam wamelipoteza. Dar Ina watu milioni Tano na zaidi Kwa idadi ile ya watu waliojitokeza nadhani viongozi wa CHADEMA watakuwa hawakulala Kwa mawazo
Tathmini Ili Ikamilike Iwekwe na Waliopinga maandamano nao waandae maandamano waeleze sababu za kupinga kwao!Naunga mkono hoja.
P
kwa kutembea tu,Nimekua muumini wa mabadilko popote pale yanaptokea duniani.naomba kuuliza wadau,hivi maandamano ya Jana CDM walifanikiwa au walifeli??ukinijibu naomba na Sababu.asante
🙏🙏🙏kwa kutembea tu,
yalifanikiwa na kutimiza azma na kusudio la kufika kufika UN🐒
Hayakufanikiwa kwa sababu nadhani lengo la waanzisha maandamano lilikuwa ni kuona jeshi la polisi linayazuia ili wao waingie barabarani kwa nguvu halafu jeshi litumie nguvu kubwa kuyazuia na hatimae watu wapigwe na wengine kupata ulemavu kabisa ili tu wapate nafasi ya kusema na kuandikwa sana kwamba wananyimwa haki yao ya kuandamanaNimekua muumini wa mabadilko popote pale yanaptokea duniani.naomba kuuliza wadau,hivi maandamano ya Jana CHADEMA walifanikiwa au walifeli??ukinijibu naomba na Sababu.asante
Kama nia ilikuwa ni hiyo kwanini hawakuacha kuandamana baada ya kuona Jeshi la Polisi halina nia ya kutumia nguvu? Tumia senses zako zote kabla ya kuandika humu.Hayakufanikiwa kwa sababu nadhani lengo la waanzisha maandamano lilikuwa ni kuona jeshi la polisi linayazuia ili wao waingie barabarani kwa nguvu halafu jeshi litumie nguvu kubwa kuyazuia na hatimae watu wapigwe na wengine kupata ulemavu kabisa ili tu wapate nafasi ya kusema na kuandikwa sana kwamba wananyimwa haki yao ya kuandamana
NB:- hayo ni mawazo yangu tu na naomba yaheshimiwe
Yalifanikiwa kwa asilimia 100%.Nimekua muumini wa mabadilko popote pale yanaptokea duniani.naomba kuuliza wadau,hivi maandamano ya Jana CHADEMA walifanikiwa au walifeli??ukinijibu naomba na Sababu.asante
Kila mwanaccm anajua nguvu ya cdm, ndio maana ziara yote ya mwenezi wa ccm ni lazima aitaje cdm, na sio vyama vingine ikiwemo vile 13 vilivyojitokeza kupinga maandamano ya cdm. Hivyo wanaccm wote hawakutaka maandamano ya cdm, maana cdm inapopata watu wengi inawaumiza.Hayakufanikiwa kwa sababu nadhani lengo la waanzisha maandamano lilikuwa ni kuona jeshi la polisi linayazuia ili wao waingie barabarani kwa nguvu halafu jeshi litumie nguvu kubwa kuyazuia na hatimae watu wapigwe na wengine kupata ulemavu kabisa ili tu wapate nafasi ya kusema na kuandikwa sana kwamba wananyimwa haki yao ya kuandamana
NB:- hayo ni mawazo yangu tu na naomba yaheshimiwe