92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,425
- 17,063
Upe muda nafasi.... Ukipakwa dawa tulia ikuingieWafuasi wa cdm wanadanganywa na fedhuli la kisiasa aisee ,eti mabadiliko ya katibu tumewasilisha ofisi za UN na walivyo majinga ikashangilia
Upe muda nafasi.... Ukipakwa dawa tulia ikuingieWafuasi wa cdm wanadanganywa na fedhuli la kisiasa aisee ,eti mabadiliko ya katibu tumewasilisha ofisi za UN na walivyo majinga ikashangilia
Waliuza beans yao kwa vipande vya pesaNi kweli, CDM ya kabla ya 2015 na sasa ni vitu viwili tofauti. Sasa sio CDM ile, sasa imekwisha habari yake. Katika mistake walizofanya no kujitoa kwenye bunge na siasa toka 2015 na ile ya watu kuunga juhudi. Imeumiza sana wadau nikiwemo mimi.
Nikikumbuka nilivyompambania Mzee Arfi pale Mpanda na kule Arusha kwa Joshua Nassari alafu leo wameunga mkono, naumia sana. Sasa kuliko kuwa mfuasi kindakindaki ni bora nipambanie ugali wa watoto wangu.
😂😂😂😂😂watu wadar nimakauzuuu😕😕😕😕😕😕
Yani tunapita sehemu watu badala wajiunge nasisi wanatushangaa.
Kipindi cha magu walinunuliwa wabunge sio wananchi.Ninakubaliana na wewe sana. Hiyo ni factor moja ambayo kulikuwa na factorial significance ya kuingiza wabunge wengi na kuukosa Urais. Why don't you at all visualize Magu's dirty politics towards opposition parties being also a significant factor? Laiti demokrasia ktk uchaguzi ingekuwepo na kusiwe na ununuzi wa Wabunge na uchaguzi 2020, hilo unalolisema kuhusu Lowasa lisingehold water.
Alie weka hii hoja hapa nae ni nyumbu tuu...nguvu iliyotumiwa na Ccm kuyapinga na kuyahujumu maandamano ilikuwa kubwa mno.
Mbowe Kwa Hilo la kuwaleta watu Toka mikoani anastahili pongezi katumia akili sana .Wanasema mzigo mzito mpe mnyamwezi.Hata yule mdau wa chadema kutoka kyela alieleza kuwa wamekodi magari mawili kutoka kyela... akalalama mafuso na magari kutoka sehemu mbalimbali yanasumbuliwa njiani...
Wanaokoteza okoteza watu kila mahali.Kwahiyo Chadema wana ushawishi mikoani?
Kwamba wana Dar ni wana Ccm?
Athali ya bunge la Chama kimojaHili ndio Tathimini yangu ya maaandamano ya Chadema
1.CHADEMA Kwa Dar es salaam Haina nguvu Tena hii ni kutokana na idadi ndogo.ya waandamanaji waliojitokeza . Bodaboda walikuwa wachache na machinga walikuwa wakiendelea na biashara kama kawaida nk tofauti na kabla ya 2015 makundi hayo yalikuwa ndio nguvu kuu ya Chadema
2.Waandamaji wengi walitoka mikoani .Hili lilitamkwa na mama mmoja live kwenye gari ya matangazo akisema sisi tumetoka Morogoro kuja kuandamama nyie watu wa Dar es salaam mnatuangalia tu
3.Maandamano yalipita sehemu zenye watu wengi kama Kariakoo au Manzese na Buguruni lakini watu walikuwa hawaongezeki Kujiunga na maandamano tofauti na miaka ya nyuma kufikia 2015
4.CHADEMA inaonyesha kutelekeza baadhi ya wilaya au imekata tamaa nazo wilaya hizo ni Kinondoni na Temeke huko naona hawakuwashirikisha kikamilifu Wala kuwa na route za kuanzia maandamano huko
Kama ni ubunge CHADEMA naweza kusema jimbo la ubunge Dar es salaam wamelipoteza. Dar Ina watu milioni Tano na zaidi Kwa idadi ile ya watu waliojitokeza nadhani viongozi wa CHADEMA watakuwa hawakulala Kwa mawazo
Kati ya vitu nimewaona cdm wa ovyo ni hii ya sheria za uchaguzi,Kama mwanasiasa wa upinzani ni lazima uwe dynamic kwenye stratergies zako kutimiza lengo Kuu. Hicho ndicho kinachofanyika. Process ya kubadilisha katiba yote ni ndefu. 2025 imekaribia ni lazima uje na stratergy tofauti na inayotekelezeka na yenye mafanikio. Kazi iendelee...
Kuendesha chama inatakiwa fedha iende mashinani, angalau posho tu au hata ajira kwenye miradi ya chama. Fedha ikibaki juu tu kwa watu fulani basi, eti wakubwa mnakula halafu wadogo mnawaambia wapambanie chama!Hili ndio Tathimini yangu ya maaandamano ya Chadema
1.CHADEMA Kwa Dar es salaam Haina nguvu Tena hii ni kutokana na idadi ndogo.ya waandamanaji waliojitokeza . Bodaboda walikuwa wachache na machinga walikuwa wakiendelea na biashara kama kawaida nk tofauti na kabla ya 2015 makundi hayo yalikuwa ndio nguvu kuu ya Chadema
2.Waandamaji wengi walitoka mikoani .Hili lilitamkwa na mama mmoja live kwenye gari ya matangazo akisema sisi tumetoka Morogoro kuja kuandamama nyie watu wa Dar es salaam mnatuangalia tu
3.Maandamano yalipita sehemu zenye watu wengi kama Kariakoo au Manzese na Buguruni lakini watu walikuwa hawaongezeki Kujiunga na maandamano tofauti na miaka ya nyuma kufikia 2015
4.CHADEMA inaonyesha kutelekeza baadhi ya wilaya au imekata tamaa nazo wilaya hizo ni Kinondoni na Temeke huko naona hawakuwashirikisha kikamilifu Wala kuwa na route za kuanzia maandamano huko
Kama ni ubunge CHADEMA naweza kusema jimbo la ubunge Dar es salaam wamelipoteza. Dar Ina watu milioni Tano na zaidi Kwa idadi ile ya watu waliojitokeza nadhani viongozi wa CHADEMA watakuwa hawakulala Kwa mawazo
Hili ndio Tathimini yangu ya maaandamano ya Chadema
1.CHADEMA Kwa Dar es salaam Haina nguvu Tena hii ni kutokana na idadi ndogo.ya waandamanaji waliojitokeza . Bodaboda walikuwa wachache na machinga walikuwa wakiendelea na biashara kama kawaida nk tofauti na kabla ya 2015 makundi hayo yalikuwa ndio nguvu kuu ya Chadema
2.Waandamaji wengi walitoka mikoani .Hili lilitamkwa na mama mmoja live kwenye gari ya matangazo akisema sisi tumetoka Morogoro kuja kuandamama nyie watu wa Dar es salaam mnatuangalia tu
3.Maandamano yalipita sehemu zenye watu wengi kama Kariakoo au Manzese na Buguruni lakini watu walikuwa hawaongezeki Kujiunga na maandamano tofauti na miaka ya nyuma kufikia 2015
4.CHADEMA inaonyesha kutelekeza baadhi ya wilaya au imekata tamaa nazo wilaya hizo ni Kinondoni na Temeke huko naona hawakuwashirikisha kikamilifu Wala kuwa na route za kuanzia maandamano huko
Kama ni ubunge CHADEMA naweza kusema jimbo la ubunge Dar es salaam wamelipoteza. Dar Ina watu milioni Tano na zaidi Kwa idadi ile ya watu waliojitokeza nadhani viongozi wa CHADEMA watakuwa hawakulala Kwa mawazo
Haya ndio matamanio ya Kila jizi la kura la ccm. Tunataka tume huru tu ya uchaguzi kisha uje utoe mrejesho vizuri.Hili ndio Tathimini yangu ya maaandamano ya Chadema
1.CHADEMA Kwa Dar es salaam Haina nguvu Tena hii ni kutokana na idadi ndogo.ya waandamanaji waliojitokeza . Bodaboda walikuwa wachache na machinga walikuwa wakiendelea na biashara kama kawaida nk tofauti na kabla ya 2015 makundi hayo yalikuwa ndio nguvu kuu ya Chadema
2.Waandamaji wengi walitoka mikoani .Hili lilitamkwa na mama mmoja live kwenye gari ya matangazo akisema sisi tumetoka Morogoro kuja kuandamama nyie watu wa Dar es salaam mnatuangalia tu
3.Maandamano yalipita sehemu zenye watu wengi kama Kariakoo au Manzese na Buguruni lakini watu walikuwa hawaongezeki Kujiunga na maandamano tofauti na miaka ya nyuma kufikia 2015
4.CHADEMA inaonyesha kutelekeza baadhi ya wilaya au imekata tamaa nazo wilaya hizo ni Kinondoni na Temeke huko naona hawakuwashirikisha kikamilifu Wala kuwa na route za kuanzia maandamano huko
Kama ni ubunge CHADEMA naweza kusema jimbo la ubunge Dar es salaam wamelipoteza. Dar Ina watu milioni Tano na zaidi Kwa idadi ile ya watu waliojitokeza nadhani viongozi wa CHADEMA watakuwa hawakulala Kwa mawazo
CHADEMA ya mwaka 2021 inawatukana ACT kwa msimamo wao wa tume huru kwanza kuelekea katiba mpyaKati ya vitu nimewaona cdm wa ovyo ni hii ya sheria za uchaguzi,
Chadema walimponda sana Zitto aliposema tubadilishe sheria za uchaguzi, wao wakasema wanataka katiba mpya tu,
Leo hii wanaandamana wakitaka sheria za uchaguzi zibadilishwe 😂😂 wangeungana na zito kipind kile wangekuwa mbali sanaa
Wajinga wala miguu ya kuku wanaojiita wa mjini wanazidiwa na washamba hata kupigania haki zso hawajui mpaka wapiganiwe na wanaume kutoka mikoani midi Wendi wenu walala njaa.Washamba ndio wanaandama wale kutoka Mbeya , Morogoro ...Dar kila mtu na njaa zake anajitafutia ..Mtu ache biashara zake afuate ujinga wa biashara za watu ambazo ni siasa...
Mafisadi pekee na wafuasi wao ndio wanaweza fikiria hivyo.Dynamism yenye kusacrifice principles hiyo ni flip-flopping. Gain yake inaweza kuwa temporary ila adhabu yake kisiasa huwa ni kubwa sana!.
Nitakupa mfano, Chadema iligain Temporary kwa kumleta Lowasa ktk chama, ikapata viti vingi bungeni, ila kwa sababu ilisacrifice agenda yake ya ufisadi leo inapata adhabu kubwa ya kutoaminika kwa kusacrifice agenda ile. Na hata watu waliokuja na Lowasa alirudi nao CCM huku CHADEMA ikipoteza mtaji wake wa kuaminika mbele ya umma kuwa kinapiga vita ufisadi.
No ya watu kwenye maandamano yoyote huwa na impact kubwa kuliko hata hayo mabango waliyobeba.Kumbe sio kufikisha ujumbe ni kuangalia idadi ya watu......ccm itaendelea kuongoza manyumbu kwa kipindi kirefu sana
Wametaka Sheria za uchaguzi zibadilishwe au hiyo miswaada ya kipuuzi itolewe bungeni? Kwani nani kamzuia Zito kutimiza anachosimamia? Au Zito anataka mipango ya chama chake ipate support ya cdm?Kati ya vitu nimewaona cdm wa ovyo ni hii ya sheria za uchaguzi,
Chadema walimponda sana Zitto aliposema tubadilishe sheria za uchaguzi, wao wakasema wanataka katiba mpya tu,
Leo hii wanaandamana wakitaka sheria za uchaguzi zibadilishwe 😂😂 wangeungana na zito kipind kile wangekuwa mbali sanaa
Kwamba usipokuwa cdm automatically ni ccm?Kwahiyo Chadema wana ushawishi mikoani?
Kwamba wana Dar ni wana Ccm?