Tripper
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 796
- 1,585
We jamaa una kipaji😂😂Kila pande ilipata inachotaka..Chadema imejifufua,na chawa wanamsifia mama kwa kukuza 'demokrasia'...mwisho wa siku Tanesco wakafanya yao Saa 12 jioni kama kawaida.
We jamaa una kipaji😂😂Kila pande ilipata inachotaka..Chadema imejifufua,na chawa wanamsifia mama kwa kukuza 'demokrasia'...mwisho wa siku Tanesco wakafanya yao Saa 12 jioni kama kawaida.
Mbowe alitweet siku mbili kabla ya maandamanoHayakufanikiwa kwa sababu nadhani lengo la waanzisha maandamano lilikuwa ni kuona jeshi la polisi linayazuia ili wao waingie barabarani kwa nguvu halafu jeshi litumie nguvu kubwa kuyazuia na hatimae watu wapigwe na wengine kupata ulemavu kabisa ili tu wapate nafasi ya kusema na kuandikwa sana kwamba wananyimwa haki yao ya kuandamana
NB:- hayo ni mawazo yangu tu na naomba yaheshimiwe
"hayakufanikiwa kwa sababu nadhani...."Hayakufanikiwa kwa sababu nadhani lengo la waanzisha maandamano lilikuwa ni kuona jeshi la polisi linayazuia ili wao waingie barabarani kwa nguvu halafu jeshi litumie nguvu kubwa kuyazuia na hatimae watu wapigwe na wengine kupata ulemavu kabisa ili tu wapate nafasi ya kusema na kuandikwa sana kwamba wananyimwa haki yao ya kuandamana
NB:- hayo ni mawazo yangu tu na naomba yaheshimiwe
Mwisho wa ubaya ni aibuWalifanikiwa kufanya mazoezi...