TARURA waingia mkataba na wakandarasi kuanza ujenzi

Kazi imeiva katika mkoa wa DSM baada ya TARURA kuingia mkataba na wakandarasi wazawa kujenga barabara katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa DSM. Billioni 14 tayari zimemwagwa.

Sasa tunataka kazi zionekane, wakandarasi wazawa pigeni kazi muache visingizio, kazi mmepewa hela mmepewa sasa ole wenu mule hela za walipa kodi halafu kazi zisikamilike.

Pongezi kwa Rais Samia kwa kudhamiria, naamini maeneo ya pembezoni yamepewa kipau mbele zaidi kwa mfano maeneo ya Kiluvya gogoni. n.k
Around 2 million dollars per km for a standard 11 meter wide, two lane asphalt paved road, including regular drainage. Bridges have to be considered individually.

Kwa msaada wa Google.
 
kazi iendelee.
maendeleo hayana chama.
leo hii sote tunafaidi mkeka wa njia 8 wa maana kuanzia kimara mwisho mpaka kibaha, yaani watu wanateleza tu, walio na vyama na hata wasio na vyama wote wanateleza kwenye lami ya njia 8 bila bugudha.
Ahsante JPM.
 
Kazi imeiva katika mkoa wa DSM baada ya TARURA kuingia mkataba na wakandarasi wazawa kujenga barabara katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa DSM. Billioni 14 tayari zimemwagwa.

Sasa tunataka kazi zionekane, wakandarasi wazawa pigeni kazi muache visingizio, kazi mmepewa hela mmepewa sasa ole wenu mule hela za walipa kodi halafu kazi zisikamilike.

Pongezi kwa Rais Samia kwa kudhamiria, naamini maeneo ya pembezoni yamepewa kipau mbele zaidi kwa mfano maeneo ya Kiluvya gogoni. n.k
Tarura wasimamie ubora wa barabara hizo

maana wakandarasi wengi ni wapigaji tu
 
Kazi imeiva katika mkoa wa DSM baada ya TARURA kuingia mkataba na wakandarasi wazawa kujenga barabara katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa DSM. Billioni 14 tayari zimemwagwa.

Sasa tunataka kazi zionekane, wakandarasi wazawa pigeni kazi muache visingizio, kazi mmepewa hela mmepewa sasa ole wenu mule hela za walipa kodi halafu kazi zisikamilike.

Pongezi kwa Rais Samia kwa kudhamiria, naamini maeneo ya pembezoni yamepewa kipau mbele zaidi kwa mfano maeneo ya Kiluvya gogoni. n.k
Hao wakandarasi wa kibongo kero tupu kwa kweli.wanamwaga kifusi barabarani halafu kinasambazwa baaya miezi 6,wanachimba masgimo barabarani yanakaa mpaka yanaharibu magari yetu.wanakwangua lami na kututimulia vumbi kwa muda mrefu sana kabla ya kurekebisha.mfano ni kibarabara kile cha barakuda hadi vingunguti hazizidi km4 sasa wanaenda mwaka huu.halafu ukarabati wao ni chin sana ya kiwango.
Usimamizi mbovu
 
Hao wakandarasi wa kibongo kero tupu kwa kweli.wanamwaga kifusi barabarani halafu kinasambazwa baaya miezi 6,wanachimba masgimo barabarani yanakaa mpaka yanaharibu magari yetu.wanakwangua lami na kututimulia vumbi kwa muda mrefu sana kabla ya kurekebisha.mfano ni kibarabara kile cha barakuda hadi vingunguti hazizidi km4 sasa wanaenda mwaka huu.halafu ukarabati wao ni chin sana ya kiwango.
Usimamizi mbovu
umenena mkuu wakandarasi wazawa tatizo lao wakipata pesa wanasahau kilicho wapatia pesa, wanatumbuwa weee kazi inadoda.
lkn safari hiii wananchi tuko macho, tutafiatilia kila kipande maana tunataka kuona thamani ya pesa zetu.
 
Sasa kazi iendelee kwa kasi ya kimbunga.
wakandarasi wazawa chonde chonde msituangushe!
hatutegemea maneno mengi wananchi wanataka vitendo, tunataka kuona kazi ikifanyika usiku na mchana ili kuthibitisha kuwa kweli nyinyi ni wakandarasi wakizalendo.
 
Bora wamepewa Trarura, halmashauri kazi yao ilikuwa kukwangua barabara na kupiga pesa kila mwaka......
 
Kutoka DMDP ya 600B mpaka 14B...hizi ni sawa na 14km za barabara ya Lami. Sijaelewa tunapiga hatua au tunarudi nyuma...nway wacha tuwe watazamaji
 
WANAPOZIJENGA BARABARA ZAO
WAKUMBUKE PIA KUFAGIAGA MICHANGA

ova
 
katika tembea tembea yangu ktk Jiji la DSM baada ya zaidi ya Billioni 14 kumwagwa nimeona sehemu chache sana tena katikati ya Jiji ndio harakati za ukarabati na ujenzi wa barabara za mitaa umeanza lkn pembezoni mwa Jiji kuko kimyaaa kama vile hakuna pesa zilizo tolewa.
Je? wakandarasi wanasubiria mvua zianze kunyesha ndio watoe sababu?!
tunaomba mamlaka zinazo simamia TARURA haswa ktk wilaya mpya ya Ubungo zichangamke.
 
tunataka kuona wakandarasi wanaaza kazi mara moja, wananchi wanataka kuona kazi inaendelee ktk mitaa.
 
Back
Top Bottom