Kazi imeiva katika mkoa wa DSM baada ya TARURA kuingia mkataba na wakandarasi wazawa kujenga barabara katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa DSM. Billioni 14 tayari zimemwagwa.
Sasa tunataka kazi zionekane, wakandarasi wazawa pigeni kazi muache visingizio, kazi mmepewa hela mmepewa sasa ole wenu mule hela za walipa kodi halafu kazi zisikamilike.
Pongezi kwa Rais Samia kwa kudhamiria, naamini maeneo ya pembezoni yamepewa kipau mbele zaidi kwa mfano maeneo ya Kiluvya gogoni. n.k
Sasa tunataka kazi zionekane, wakandarasi wazawa pigeni kazi muache visingizio, kazi mmepewa hela mmepewa sasa ole wenu mule hela za walipa kodi halafu kazi zisikamilike.
Pongezi kwa Rais Samia kwa kudhamiria, naamini maeneo ya pembezoni yamepewa kipau mbele zaidi kwa mfano maeneo ya Kiluvya gogoni. n.k