PreGE2025 Tarimba ataka CCM kumchukulia hatua Askofu Gwajima

PreGE2025 Tarimba ataka CCM kumchukulia hatua Askofu Gwajima

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
asa kubomolewa kanisa kuna mahusiano gani na alichoongea?ukiwa CCM unakuwa mtu wa hovyo hovyo ki fikra,yaani unakuwa poor mind ambayo hata nguruwe hana
Libomolewe, liko eneo la wazi
 
Ndiyo muone nguvu inayotumika kuhalalisha uovu Nchi hii ni kubwa kiasi gani.

Sasa huyo ni mwanaCCM mwenzao, wanafikiria kumvunjia Kanisa lake na kumpoka uanachama wake.

Vipi akina Tundu Lissu? Wataacha kupigwa Risasi?

Ndiyo maana yupo Magereza mpaka sasa Kwa kosa la Uhaini 🙌

Alafu ajitokeze mtu anishauri nikapige kura hiyo Oktoba
 
Ndiyo muone nguvu inayotumika kuhalalisha uovu Nchi hii ni kubwa kiasi gani.

Sasa huyo ni mwanaCCM mwenzao, wanafikiria kumvunjia Kanisa lake na kumpoka uanachama wake.

Vipi akina Tundu Lissu? Wataacha kupigwa Risasi?

Ndiyo maana yupo Magereza mpaka sasa Kwa kosa la Uhaini 🙌

Alafu ajitokeze mtu anishauri nikapige kura hiyo Oktoba
Hatuna haja na kikura chako hicho, hujui hata kuandika na kusoma
 
Ameongea kwa uchungu mkubwa sana leo Bungeni. Na mimi naunga mkono. CCM Kinondoni iandae kongamano la kumlaani Gwajima, hata mimi ntachangia gharama za mkutano huo.

Ajibiwe na ngazi ya wilaya na mkoa tu ili ajue hiyo ni level yake, akiwa anataka ajibiwe na ngazi ya taifa. CCM Wilaya inamtosha huyo

Napendekeza afukuzwe uanachama wa CCM, na kanisa lake lililojengwa eneo la wazi libomolewe akatafute eneo nje ya mji
Rubbish
 
Ameongea kwa uchungu mkubwa sana leo Bungeni. Na mimi naunga mkono. CCM Kinondoni iandae kongamano la kumlaani Gwajima, hata mimi ntachangia gharama za mkutano huo.

Ajibiwe na ngazi ya wilaya na mkoa tu ili ajue hiyo ni level yake, akiwa anataka ajibiwe na ngazi ya taifa. CCM Wilaya inamtosha huyo

Napendekeza afukuzwe uanachama wa CCM, na kanisa lake lililojengwa eneo la wazi libomolewe akatafute eneo nje ya mji
Tukifanya hivyo, CCM itakuwa HAINA tofauti na vyama vidogo kama Chadema. Dawa ya Mch. Gwajima ni kumpuuzia.
 
Dk. Gwajima bishop mkuu w ufufuo n uzima peleka moto mpk mcheza kamari na uyo mwenye uzi wadate.
Nijuavyo mm hoja ujibiwa kwa hoja na sio kufukuzwa chama.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Kwa hiyo alijenga eneo la wazi na siku zote mnajua ila Kwa sababu mlikuwa pamoja hamkuona ni makosa ila Leo sasa ndio inaonekana alijenga kimakosa.
 
Dk. Gwajima bishop mkuu w ufufuo n uzima peleka moto mpk mcheza kamari na uyo mwenye uzi wadate.
Nijuavyo mm hoja ujibiwa kwa hoja na sio kufukuzwa chama.
KAZI ni kipimo cha utu
Jumapili pale kawe na YouTube ya Gwajima patawaka moto
 
Ameongea kwa uchungu mkubwa sana leo Bungeni. Na mimi naunga mkono. CCM Kinondoni iandae kongamano la kumlaani Gwajima, hata mimi ntachangia gharama za mkutano huo.

Ajibiwe na ngazi ya wilaya na mkoa tu ili ajue hiyo ni level yake, akiwa anataka ajibiwe na ngazi ya taifa. CCM Wilaya inamtosha huyo

Mimi chiembe napendekeza afukuzwe uanachama wa CCM, na kanisa lake lililojengwa eneo la wazi libomolewe akatafute eneo nje ya mji
Tarimba naye ni BOYA kumbe ,angekaa kimya tu.

Gwajima ana hoja asikilizwe.
 
Ameongea kwa uchungu mkubwa sana leo Bungeni. Na mimi naunga mkono. CCM Kinondoni iandae kongamano la kumlaani Gwajima, hata mimi ntachangia gharama za mkutano huo.

Ajibiwe na ngazi ya wilaya na mkoa tu ili ajue hiyo ni level yake, akiwa anataka ajibiwe na ngazi ya taifa. CCM Wilaya inamtosha huyo

Napendekeza afukuzwe uanachama wa CCM, na kanisa lake lililojengwa eneo la wazi libomolewe akatafute eneo nje ya mji
Ni sawa tumlaani Gwajima lkn ili Gwajima alaaniwe vizuri bila shaka yoyote,Tuanze na kongamano la kuwalaani watekaji wote walioacha MAJONZI KWENYE FAMILIA ZA WATANZANIA WENZETU kwa kupotewa na ndugu na wazazi wao. Tuwalaani bila kujali rangi,dini ,Wala makabila yao tuwalaani vikali kabisa tukifika hapo tutafanikiwa kuzima mwangwi uliopo lkn tukijifanya hatuna Akili eti tunamlaani Gwajima kijingajinga tu nadhani tutakuwa hatujitambui serikali nzima.
 
Dk. Gwajima bishop mkuu w ufufuo n uzima peleka moto mpk mcheza kamari na uyo mwenye uzi wadate.
Nijuavyo mm hoja ujibiwa kwa hoja na sio kufukuzwa chama.
KAZI ni kipimo cha utu
Bishop wa konyo
 
Kashasema ukweli tupu - mguseni mnuke

Afu we tarimba si ukiiba kura Kinondoni unafikiri tumesahau.
 
Ameongea kwa uchungu mkubwa sana leo Bungeni. Na mimi naunga mkono. CCM Kinondoni iandae kongamano la kumlaani Gwajima, hata mimi ntachangia gharama za mkutano huo.

Ajibiwe na ngazi ya wilaya na mkoa tu ili ajue hiyo ni level yake, akiwa anataka ajibiwe na ngazi ya taifa. CCM Wilaya inamtosha huyo

Mimi chiembe napendekeza afukuzwe uanachama wa CCM, na kanisa lake lililojengwa eneo la wazi libomolewe akatafute eneo nje ya mji
We Tarimba mkeo angetekwa afu akarudi hana jicho kabakwa nyakanyaka - nafikiri ungefurahi sana eee.
 
Huyu ni wewe?

Thread 'John Mrema ni gwiji la siasa, John Mrema mmoja ni sawa na kujumlisha Lissu na Heche kwa pamoja, halafu hawafiki hata nusu' John Mrema ni gwiji la siasa, John Mrema mmoja ni sawa na kujumlisha Lissu na Heche kwa pamoja, halafu hawafiki hata nusu

Kunguni wa mama ulikuwa unajibanza CHADEMA kusupport Vibaka 55 na press mkawa mnawafadhili hadi walipofeli project mkahamishia CHAUMMA napo kuanzia juma lililopita umekuwa ukijibanza huko kwenye project mpya kutengeneza CCM b.

Sasa leo umeonyesha rangi yako hali baada ya kuitwa kunusuru chama lako bovu linaungua kwa moto uliowashwa na mwanafamilia.

Je alichosema Gwajima kuhusu mzee Kibao kushushwa kwenye gari kisha kwenda kuuwawa na kutobolewa macho ni uongo?

Alichosema kuwa Mdude alichukuliwa kwake usiku na watu waliojitambulisha ni polisi ni uongo?
 
Back
Top Bottom