PreGE2025 Tarimba ataka CCM kumchukulia hatua Askofu Gwajima

PreGE2025 Tarimba ataka CCM kumchukulia hatua Askofu Gwajima

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Ameongea kwa uchungu mkubwa sana leo Bungeni. Na mimi naunga mkono. CCM Kinondoni iandae kongamano la kumlaani Gwajima, hata mimi ntachangia gharama za mkutano huo.

Napendekeza afukuzwe uanachama wa CCM, na kanisa lake lililojengwa eneo la wazi libomolewe akatafute eneo nje ya mji
Kwanini Gwajima asijibiwe kwa hoja,mbona mnamtisha.tarimba ajue Gwajima anamjua vizuri kuliko yeye anavyomjua gwajima
 
Ameongea kwa uchungu mkubwa sana leo Bungeni. Na mimi naunga mkono. CCM Kinondoni iandae kongamano la kumlaani Gwajima, hata mimi ntachangia gharama za mkutano huo.

Napendekeza afukuzwe uanachama wa CCM, na kanisa lake lililojengwa eneo la wazi libomolewe akatafute eneo nje ya mji
Mmachekesha sana, you guys cant swallow the truth or take critism, yet here we are 😂😂
 
Hawa madebe tupu, na hao wanaotaka wapite ubunge. Huyo Tarimba yule hawara yake anavyomnyonyoa pesa ataacha kusifia ujinge ili apitishwe tena.

Kuna watu wenye uelewa wa mambo huko ccm wanaunga mkono alichoongea Gwaji boy, achaneni na hawa wapiga domo humu na wataka kupitishwa wagombee. Wamevuliwa nguo, badala wachutame, wanakimbia wakiwa watupu aibu yao.
 
Hizo ndio akili za wana-ccm, hawa watu wanaliangamiza taifa kwa sababu it's either hawana akili, wanazo ila hawazitumii au wameamua tu kulamba masaburi ya viongozi wao.

Siku hiki chama kikiondoka madarakani(we might have gone anyways) itakuwa mwanzo mpya wa Tanzania.
 
Ameongea kwa uchungu mkubwa sana leo Bungeni. Na mimi naunga mkono. CCM Kinondoni iandae kongamano la kumlaani Gwajima, hata mimi ntachangia gharama za mkutano huo.

Napendekeza afukuzwe uanachama wa CCM, na kanisa lake lililojengwa eneo la wazi libomolewe akatafute eneo nje ya mji
Naunga mkono hoja, yule kwanza ni tapeli, eti kanisa la ufufuko, eti anafufua wafu? Yule ameshafika bei, hana tofauti na Kibwetere afukuzwe uanachama. Hana adabu amemtukana mwenyekiti wake, mkuu wa nchi yetu na amiri jeshi mkuu. Huyu Rais wetu naye aache unyonge, una madaraka yote unyonge unatoka wapi, ht mzee Mwinyi hawakujaribu kumchezea kwanini Samia. Hapa ndio namkumbuka Magufuli ht ile press asingemaliza, nyau lisilo na haya, ubunge wenyewe wa kupewa na Magufuli. Fukuza mbwa huyo.
 
Hawa madebe tupu, na hao wanaotaka wapite ubunge. Huyo Tarimba yule hawara yake anavyomnyonyoa pesa ataacha kusifia ujinge ili apitishwe tena.

Kuna watu wenye uelewa wa mambo huko ccm wanaunga mkono alichoongea Gwaji boy, achaneni na hawa wapiga domo humu na wataka kupitishwa wagombee. Wamevuliwa nguo, badala wachutame, wanakimbia wakiwa watupu aibu yao.
Gwajima hana hoja, ni uharo tupu
 
Ngoja jumapili gwajima afyatuke. Wakamuulize BASHITE anamjua vyema
Gwajima Yuko well informed kwenye hii saga busara ilikuwa kutokumjibu bali ule ushauri ulipaswa kuchukuliwa na kufanyiwa kazi.bahati mbaya kama taifa tumezalisha machawa wengi wanaojua kusifia tu kwa kuwa ni wanufaika wa mfumo.
 
Ameongea kwa uchungu mkubwa sana leo Bungeni. Na mimi naunga mkono. CCM Kinondoni iandae kongamano la kumlaani Gwajima, hata mimi ntachangia gharama za mkutano huo.

Napendekeza afukuzwe uanachama wa CCM, na kanisa lake lililojengwa eneo la wazi libomolewe akatafute eneo nje ya mji
Kosa lake nini? Kutoa mifano hai?
 
Naunga mkono hoja, yule kwanza ni tapeli, eti kanisa la ufufuko, eti anafufua wafu? Yule ameshafika bei, hana tofauti na Kibwetere afukuzwe uanachama. Hana adabu amemtukana mwenyekiti wake, mkuu wa nchi yetu na amiri jeshi mkuu. Huyu Rais wetu naye aache unyonge, una madaraka yote unyonge unatoka wapi, ht mzee Mwinyi hawakujaribu kumchezea kwanini Samia. Hapa ndio namkumbuka Magufuli ht ile press asingemaliza, nyau lisilo na haya, ubunge wenyewe wa kupewa na Magufuli. Fukuza mbwa huyo.
Enzi ya JPM hata ule mkutano asingeufanya au hata kuumaliza. SSH aanze kuwafinya hawa
 
Naunga mkono hoja, yule kwanza ni tapeli, eti kanisa la ufufuko, eti anafufua wafu? Yule ameshafika bei, hana tofauti na Kibwetere afukuzwe uanachama. Hana adabu amemtukana mwenyekiti wake, mkuu wa nchi yetu na amiri jeshi mkuu. Huyu Rais wetu naye aache unyonge, una madaraka yote unyonge unatoka wapi, ht mzee Mwinyi hawakujaribu kumchezea kwanini Samia. Hapa ndio namkumbuka Magufuli ht ile press asingemaliza, nyau lisilo na haya, ubunge wenyewe wa kupewa na Magufuli. Fukuza mbwa huyo.
Ccm mmeanza lini kufukuzana uanachama? Wakifanya wenzenu ni udictator. Aliyekuambia GWAJIMA anaogopa kufukuzwa chama ni nani???
Umejua leo kwamba ni tapeli? Mbunge gani asiyekuwa tapel hapo ccm?
 
Back
Top Bottom