Amesahau Gwajima alimnyoosha BASHITE huku akiwa ni Mkuu wa Mkoa wa DSM, tena mtoto pendwa wa aliyekuwa Rais wakati huo.
Hizi ligi za kuharibiana na kuchafuana, Gwajima ni Bingwa. Atawadhalilisha hadi hawawezi kuamini. Mtu ambaye video ya ngono ilishindwa kumnyamazisha, wasicheze nae kabisa.
Wanapaswa wajibu hoja zake kwanini watu wanatekwa na ni nani anayewateka.
NGOMA ikilia sana hupasuka, watu wamemsifia sana Mkulu hadi wanaona kushauri vitu vizuri ni UBAYA.
Ni bora wamalize haya mapema kabla hawajajutia.