Duh nimecheka sana. Kuna post hapo juu jamaa kamalizia kwa kusema 'anaeumia ni mwananchi wa kawaida' nikataka nimjibu unafikiri wanaopandisha bei wanajali mwananchi wa kawaida akiumia? Nikajisemea wacha nisiletw siasa kwemye huu uzi.
Mkuu, nchi inapigwa mikwara kila uchwao na mabeberu ya kusitishiwa misaada. Unategemea jamaa watashusha hizo bei wakati na wao wanategemea kupata mapato ya kufidia kitanzi cha beberu?