hehehe! Maupepo bila yuro si nitasikia njaa! Lol. Katavi anakimbia na vx yake, nataka nidandie lift hapo.
Achana na Husninyo anataka akawaone Papa Wemba na Mbilia Bell.
...Imekuwaje tena? Huko kwenu majuzi si mmefanya mkutano wa wawekezaji, halafu tunasikia kuna na wengine wanakuja wekeza mamilioni ya dolari za kimarekani?Kutokana na maisha kuwa magumu nchini, nafanya mpango wa kukimbilia nchi jirani ambako kuna unafuu wa maisha. Endapo hali itaendelea kuwa hivi nataka niwaombe hawa UNHCR haki ya ukimbizi, nchi zilizo jirani na makazi yangu ni Zambia na DRC. Kuhama nchi kutokana na ugumu wa maisha kunaruhusiwa kulingana na taratibu za UNHCR?? Na taratibu zikoje??
...Sheria? Huko mbali sana, unahitaji kufahamu taratibu.nahisi hizo sheria hawawezi kuziweka wazi, maana watz wengi wamechoka na hii nchi ya kila kukicha bora ya jana.
...Sheria? Huko mbali sana, unahitaji kufahamu taratibu.
...Kila nchi ina taratibu zake. Inabidi kwenu kuwe na vita, ubaguzi (unaombatana na mauaji) wa rangi au kabila, na kusakamwa au kutishiwa maisha kwa sababu za kisiasa.
mmh! Basi na mm!!akianza na mimi....katavi ukipata hizo taarifa nitaarifu......nataka nikimbilie shelisheli....
Wawekezaji wanaokuja na kila kitu hadi vibarua?? Muda si mrefu tutaanza kufukuzwa hadi kwenye ardhi yetu, kuliko kusubiri machafuko ngoja nikimbie mapema.......Imekuwaje tena? Huko kwenu majuzi si mmefanya mkutano wa wawekezaji, halafu tunasikia kuna na wengine wanakuja wekeza mamilioni ya dolari za kimarekani?
bunduki ipi?
Katavi sii ni he jamani?
hahahahhhh kongosho umesababisha nicheke kwa sauti, mama mwenye nyumba asije nitoa mbio.
Namaanisha Ak 47 maana nikisema machine gun utanipeleka sipo...