Bandari za Dar na Mtwara Kuwa Mashakani Kutokana na Nchi za Zambia,Malawi na Mozambique Kuzindua Upanuzi Mkubwa wa Miundombinu ya Nacala Port.

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,042
49,727
Ushindani wa kibiashara ya usafirishaji unazidi kushika Kasi kutokana na Kila Nchi kuzidi kuboresha miundombinu yake Ili kuvutia wafanyabiashara wa Nchi zisizo na Bandari.

Marais wa Nchi za Malawi,Zambi na Mozambique wamezindua ujenzi na upanuzi wa Miundombinu ya Nacala Port Nchini Msumbiji.

Ikumbukwe Nacala Port Iko Kaskazini mwa Msumbiji ambayo ni very Short cut Kwa Nchi za Malawi na Zambia kuifikia Bahari.

Habari hii ni mbaya sana hasa Kwa Bandari ya Dar na Mtwara kiasi kwamba itaathiri pakuhwa sana Bandari zetu Kwa kupungua Kwa mzigo wa Zambia.

Kanakwamba haitoshi Zambia na Angola Kwa Kushirikiana na Marekani na Ulaya zinajenga reli kwenda Bandari ya Lobito na hivyo kuzidi kuweka Mashakani Dar Port

On top of that nimeona sehemu Zambia,Malawi, Mozambique,DRC na Zimbabwe zimeingia MoU kutafuta pesa Ili kupanua zaidi Bandari ya Beira na kujenga reli ya SGR Hadi kwenye Nchi hizo kitu ambacho kitaua mazima Bandari zetu Kwa kuwa hiyo Beira is very short distance kuliko Dar.

View: https://twitter.com/TheAfricaReport/status/1720563001017635329?t=tsGdQ-YHNwI7FuY83RrEtg&s=19

My Take
Tupambane tuu kukuza uchumi wa ndani ili Bandari zetu zitegemee zaidi mzigo wa ndani kuliko wa Nje.

Hao wa Nje iwe ni ziada tuu Kama ilivyo Mombasa Port.
Screenshot_20231104-071029.jpg
 
Hii biashara inazidi kuwa ngumu.Nchi pekee yenye absolute advantage kwenye biashara hii ni Mozambique maana Iko karibu na Bahari kutoka Nchi karibu 6 kuanzia Botswana, Zimbabwe, Zambia, Malawi,DRC na Mozambique
Screenshot_20231104-071151.jpg
 
Kwahiyo ule uwekezaji wa DP world hauna tija?
Bandari zetu kutegemea mizigo ya ndani ni sawa na kifo cha bandari ebu fikiria yale makampuni yanayosafirisha mizigo nje ya nchi yatafanya biashara gani?
 
Kwahiyo ule uwekezaji wa DP world hauna tija?
Bandari zetu kutegemea mizigo ya ndani ni sawa na kifo cha bandari ebu fikiria yale makampuni yanayosafirisha mizigo nje ya nchi yatafanya biashara gani?
Sasa kitakachowaondoa kwani ni Mimi? Ni ushindani utaleta majibu kwani utaenda kuwalazimisha Zambia na DRC wapitishe mizigo Tzn?
 
Sasa kitakachowaondoa kwani ni Mimi? Ni ushindani utaleta majibu kwani utaenda kuwalazimisha Zambia na DRC wapitishe mizigo Tzn?
Hilo ni swali hata Mimi nimejiuliza pia ndiyo maana nimeuliza Kwa wasomaji wengine wao wanasemaje !!!!!!!
Najua serikali ina watu wenye uwezo mkumbwa watashauri namna ya kufanya biashara kama vile kushusha tozo na kuondoo baadhi ya tozo ili kuvutia biashara
 
Ushindani wa kibiashara ya usafirishaji unazidi kushika Kasi kutokana na Kila Nchi kuzidi kuboresha miundombinu yake Ili kuvutia wafanyabiashara wa Nchi zisizo na Bandari.

Marais wa Nchi za Malawi,Zambi na Mozambique wamezindua ujenzi na upanuzi wa Miundombinu ya Nacala Port Nchini Msumbiji.

Ikumbukwe Nacala Port Iko Kaskazini mwa Msumbiji ambayo ni very Short cut Kwa Nchi za Malawi na Zambia kuifikia Bahari.

Habari hii ni mbaya sana hasa Kwa Bandari ya Dar na Mtwara kiasi kwamba itaathiri pakuhwa sana Bandari zetu Kwa kupungua Kwa mzigo wa Zambia.

Kanakwamba haitoshi Zambia na Angola Kwa Kushirikiana na Marekani na Ulaya zinajenga reli kwenda Bandari ya Lobito na hivyo kuzidi kuweka Mashakani Dar Port

On top of that nimeona sehemu Zambia,Malawi, Mozambique,DRC na Zimbabwe zimeingia MoU kutafuta pesa Ili kupanua zaidi Bandari ya Beira na kujenga reli ya SGR Hadi kwenye Nchi hizo kitu ambacho kitaua mazima Bandari zetu Kwa kuwa hiyo Beira is very short distance kuliko Dar.

View: https://twitter.com/TheAfricaReport/status/1720563001017635329?t=tsGdQ-YHNwI7FuY83RrEtg&s=19

My Take
Tupambane tuu kukuza uchumi wa ndani ili Bandari zetu zitegemee zaidi mzigo wa ndani kuliko wa Nje.

Hao wa Nje iwe ni ziada tuu Kama ilivyo Mombasa Port.
View attachment 2803113

Hii ya kwenu mtabebea Ndizi na Mawese kutoka kigoma kwani shida iko wapi?
 
Dp wataikimbia wenyewe😆😆
Kama uchumi wa ndani haufidii gap litakalopotea Kwa Zambia na DRC ku opt the shortest route basi lazima DP World wakimbie Kwa sababu Burundi na Rwanda ni Zina uchumi mdogo sana.

Mbaya Zaidi Eastern DRC watu wanapigania vita badala ya kufanya uzalishaji maana huko ndiko kungesaidia Bandari ya Dar kuwa functional kama amani ingekuwepo.

Sasa sijui hata Sgr zenu zitasagirisha kitu gani 😂😂
 
Kama uchumi wa ndani haufidii gap litakalopotea Kwa Zambia na DRC ku opt the shortest route basi lazima DP World wakimbie Kwa sababu Burundi na Rwanda ni Zina uchumi mdogo sana.

Mbaya Zaidi Eastern DRC watu wanapigania vita badala ya kufanya uzalishaji maana huko ndiko kungesaidia Bandari ya Dar kuwa functional kama amani ingekuwepo.

Sasa sijui hata Sgr zenu zitasagirisha kitu gani 😂😂
Zitasafirisha Tumbaku kutoka Tabora
 
Shida kubwa ya msumbiji ni language barirer , kule ni kireno hakuna engkish wwla kiswahili !Beira ilikuja juu sana kipindi fulani na wazambia wakahamia huko , wamerudi wenyewe Daslam!!
Of all the east african ports , Dar is the cheapest destination you can be , Wacongo wanalijua hili
 
Back
Top Bottom