Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Kutokana na maisha kuwa magumu nchini, nafanya mpango wa kukimbilia nchi jirani ambako kuna unafuu wa maisha. Endapo hali itaendelea kuwa hivi nataka niwaombe hawa UNHCR haki ya ukimbizi, nchi zilizo jirani na makazi yangu ni Zambia na DRC. Kuhama nchi kutokana na ugumu wa maisha kunaruhusiwa kulingana na taratibu za UNHCR?? Na taratibu zikoje??