Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Njoo basi nawe uniletee dah . . . !!
Nilikuwa ninaiangalia inavyopendeza
Dah ni ya ukweli mbaya aisee
Njoo basi nawe uniletee dah . . . !!
Nilikuwa ninaiangalia inavyopendeza
Dah ni ya ukweli mbaya aisee
Si uilete basi mbona unaniringishia tu . . . .ujue jioni naenda kwa mwalimu gfsonwin??!
heheh
Alafu sijapokea zawadi yoyote mpaka sasa we ndo utakuwa wa kwanza etii!!
Si uilete basi mbona unaniringishia tu . . . .ujue jioni naenda kwa mwalimu gfsonwin??!
heheh
Alafu sijapokea zawadi yoyote mpaka sasa we ndo utakuwa wa kwanza etii!!
Heheheeee hata mimi sijapokea tena hata ahadi sijapewa.
Hivi ulinambia unapenda zawadi gani?
Nina kinyongo na Erickb52 na Arushaone waliniahidi kreti ya Ndyofu kwa msisitizo Ndyofu na mpaka leo sijaliona wasikatishe mitaa ya unga lelo watarudi uchi bila hata boxer maana nawaagiza vijana wangu wawavue kila kitu na wawavutishe cha arusha
Halafu nina hasira sana na Mungi kanisemea kwa nitonye eti naendaga kwenye kwaya na sweetlady
Haya nakuleteaWe ukianza tu kutoa basi umejitengenezea baraka za kupokea na wewe.
Hata mi sikumbuki nilikwambia napenda zawadi gani! lol
hahahah! karibu mwaya ujue sasa hivi ndo na cream cake kwaajili ya x-mass so utakuta pamenoga kweli.
Haya nakuletea
Nina kinyongo na Erickb52 na Arushaone waliniahidi kreti ya Ndyofu kwa msisitizo Ndyofu na mpaka leo sijaliona wasikatishe mitaa ya unga lelo watarudi uchi bila hata boxer maana nawaagiza vijana wangu wawavue kila kitu na wawavutishe cha arusha
Halafu nina hasira sana na Mungi kanisemea kwa nitonye eti naendaga kwenye kwaya na sweetlady