The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,886
Kwani hua inakuaje mpaka inafikia hatua unamuamini mtu uliyekutana nae kwenye mtandao jamani??
hivi mnajua maana ya mitandao?
hata college ni mtandao
kazi ni mtandao
daladala ni mtandao
ndege ni mtandao........
binadamu woote tupo kwenye mitandao
sio mpaka uje jf na facebook ndo ufikiri upo kwenye mtandao
ukifanya kazi muhimbili,huo ni mtandao
anaesoma udom yupo kwenye mtandao tena unaweza ukuta wa UDOM mtandao wake una watu weengi kuliko wa jf
get it...