Pole sana, huyu dogo namfahamu hadi kwake alikuwa akiishi na mama yake, Mtaa wa Zaramo, lile jengo opposite DTV, sijui kama bado anakaa hapo, nilikuwa natafura Mac Book Pro, mbili za ma dogo wamemaliza form 4, dukani ni M.4, kitaa ni just 1.5. akadai anazo, natakiwa kutoa kwanza advance ndipo alete, nikamsisitiza fedha ninayo, lazima nione ndipo nilipe!, nilizunguka nae akiingia nyumba hii, mara ile hadi giza likaingia!, ila you can tell from the face, basi tuu
Nitamtafuta yule aliyeniconect naye, utamshika unless awe amehama!.
Ila pia, hujamtendea haki huyo binti anayeonekana nae, ume violate her right to privacy!.
Pasco.