Tapeli mkubwa jijini Dar es Salaam: Malik Hussein Rawji

Tapeli mkubwa jijini Dar es Salaam: Malik Hussein Rawji

nilikua nje ya ukumbi naangalia game, baada ya mda naenda kuangalia nikakuta mlango umefungwa, na wale staff wanamtafuta.

kwa hiyo ulisahau kilichokipeleka huko???????????, pole mkuu je mjumbe wako wa nyumba kumi ana taarifa?
 
View attachment 135068

HUYU JAMAA (MWANAUME) ANAITWA MALIK HUSSEIN RAWJI.

Alikuja ofisini kwangu, akasema anamkutano Beach Comber, alikuwa anahitaji Laptops 10 kwa ajiri ya baadhi ya washiriki wasiokua na Laptop kwa makubaliano ya 60,000 kila computer.

Makubalioano yalikua mimi nazipeleka LAPTOP, NAZISUBIRI, KISHA NARUDI NAZO.

Nilienda na Laptop 10 nikaziunganisha pale Beach Comber nikatoka nje ya ukumbi na kukaa karibu na ukumbi ili ikitokea shida waniite ili niwasaidie. Saa moja lilipita kimya, baadae naenda kuuliza hakuna mtu.

Mkimuona please call me 0713-302 950.
Mkuu kutanisha hapa ndipo nilipotatizika kidogo, ina maana kama ni tapeli alishirikiana na uongozi wa hoteli. Haiwezekani "from nowhere" mtu aingie hotelini aunganishe kompyuta zote hizo na kutumia umeme wa hoteli bila uongozi kuwa na taarifa zake.

Kama alitoa taarifa za kuwa na kikao kwa uongozi wa hoteli, je uongozi wa hoteli ulichukua hatua gani ulipoona anaondoa kompyuta hizo tena kabla ya muda wa kikao?

Kama habari hii ni yakweli uongozi wa hoteli una kitu cha kujibu. Hii ni hatari hata kwa usalama wa wateja wake.
 
Aise pol sana ndugu yangu,huyo jamaa Malik mtoto wa marehemu Hussein,hivi ajaacha utapeli wake? huyu jamaa baba yake alikuwa mshkaji wetu sana na mtu wa kujituma hususani ktk masuala ya uchimbaji mdogo mdogo wa madini pia na ufugaji wa ma bwawa ya samaki,mshua wake alikua mtu wa kujituma sana japo alikuwa anamguu mmoja wa bandia,ila si shangai baba yake alikutwa amefariki ndani huku ameshikilia ganja mdomoni,ukitaka kumpata tangaza dau,au mtafute mitaa ya upanga au kule kwa bibi yake maeneo ya clock tower,ni tarahisi sana kumkamata hana ujanja huyo dogo
 
Ushamba at work!
Unamwaminije mtu day one without down payment at least 60%

We nae sijui umetokea wap.. soma kwanza uelewe ndo ujibu post.
Asa down payment ya laptop ya kukodi 60,000 ingesaidia nin? tena asilimia 60.
 
Sidhani kama na wewe huko sahihi hivi ni kweli unaweza enda sehemu ukaunganisha laptop kusiwe hata na viashiria hata vya kuweko wa watu wengine nipajuapo Beach comber labda kama alitoloka na boti maana pale lango la kuingilia ni moja
 
Huyu s tapelli jiniasi
loh kama namjua unajua rosegarden.maishaclub.na bar 2 ziko masaki nikikumbuka.ntakujulosha chukuaa muda zunguka weekend anapenda sana mademu

kuna demu mmoja tall alikuwa wa kinje kipindi fulani kama unamjua.muulizie atakusaidia
 
Na ukimsikia akiongea utahisi malaika mamndenyi anakuja
he kama amefikia uko hatari

angalizo tu msije mkawamnatafuta mke wa mtu kupitia malik..n mpenzi wa wake zq watu sijui kama yamekukuta mkuu kwa hili

angalizo tu
 
Unakimbizwa ??????

Na ukimsikia akiongea utahisi malaika mamndenyi anakuja

he kama amefikia uko hatari

angalizo tu msije mkawamnatafuta mke wa mtu kupitia malik..n mpenzi wa wake zq watu sijui kama yamekukuta mkuu kwa hili

angalizo tu
 
Mkuu pole sana, siku za nyuma yaani hadi Desemba 2012, huyu jamaa alikuwa anakuwepo sana pale kasino ya New Africa Hotel. Jaribu kuuliza wafanyakazi wa siku nyingi wa pale utajua kama bado mteja wao.
 
Mimi nimempenda tu huyo demu kwenye picha ni mkare.
Mkuu hiyo familia ya panya, kama baba ni panya na mama naye ni hivyo hivyo. Angalia usije leta "post" ya kutapeliwa humu.
 
Na ukimsikia akiongea utahisi malaika mamndenyi anakuja
he kama amefikia uko hatari

angalizo tu msije mkawamnatafuta mke wa mtu kupitia malik..n mpenzi wa wake zq watu sijui kama yamekukuta mkuu kwa hili

angalizo tu
Hiki kitakuwa kiyunani,ngoja nitafute kamusi.
 
Sidhani kama na wewe huko sahihi hivi ni kweli unaweza enda sehemu ukaunganisha laptop kusiwe hata na viashiria hata vya kuweko wa watu wengine nipajuapo Beach comber labda kama alitoloka na boti maana pale lango la kuingilia ni moja
Ni kweli mkuu, hata mimi sikumuelewa. Pamoja na kumuuliza maswali yangu naona bado ameuchuna.
 
Back
Top Bottom