vulturine vulture
Senior Member
- Sep 5, 2019
- 154
- 96
Vp suzy ngodokiR.I P nguli wa salama enzi hizo akiwa sambamba na Jofrey Njeleka wa mkwajuni Chunya Mbeya(sasa Songwe). Bila kujisahau mimi mwenyewe nikirindima kutuma salamu Idhaa ya kiswahili ya Channel Afrika miaka ya 80's 90's. Wakati huo watangazaji ,,,William Njelanje, Kaleja kaunda wakifanya vyema kabisa as radio presenters kwa habari na vipindi vya salaam.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app