chipolopolo 2
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 3,291
- 1,839
Huyu ChescoMatunda alifariki lini mdau!?Huyu Ana mtaa wake temboni saranga pale darajani Kwa mbele. Ila alishadedi Ila mtaa wa Kwa chesco upo mpaka kesho.
Huyu ChescoMatunda alifariki lini mdau!?
Siku za karibuni mkuu!Daah! Jamani
ndio mana siku za usoni sijamsikia
Dah..! Mbuyu wa salam umeanguka. Lala kwa amani mzee wetu. Mwenye picha yake tafadhali.
Alazwe Apostahiri
😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞Hebu rudia tena sijaelewa
Siyo kwamba alikuwa ana kibanda cha kuuza matunda pale Sinza Afrika Sana?Me nlipewa tu story na mwenyeji wangu nlikuwa hata simjui Ila miaka imeenda mnoo maana mwenyeji wangu hata kabla hajahamia hapo kwake huyo chesco alishakufa.
Miaka zaidi ya 8 imepita.
Si alikuwa dereva??
ZAKARIA NDEMFOO wa MACHAME KISIKI haya majina mawili likiwa la mtuma salami maarufu duniani kupitia idhaa za kiswahili za Marekani, Uingereza, Afrika Kusini, India, Sauti ya Ujerumani, Radio China na Sauti ya Injili (Ethiopia) na redio za Afrika Mashariki miaka ya sitini na kuendelea alifariki tarehe 17 / 01 / 2020. Mzee Zakaria ndiye mtanzania pekee aliyekuwa maarufu masikioni mwa watu duniani, enzi hizo Zakaria Ndemfoo na Machame Kisiki vilizagaa kwenye anga duniani na lugha ya kiswahili japo wengi hawakujua alikieneza kiswahili kwa njia ya salamu kupitia redio.
PUMZIKA PEMA MZEE ZAKARIA NDEMFOO.
RIP,yes kipindi hicho nchi ina HESHIMA na ADABU,ila kama nimekosea ninaomba nisahihishwe huyu si alikuwa BABATI?ZAKARIA NDEMFOO wa MACHAME KISIKI haya majina mawili likiwa la mtuma salami maarufu duniani kupitia idhaa za kiswahili za Marekani, Uingereza, Afrika Kusini, India, Sauti ya Ujerumani, Radio China na Sauti ya Injili (Ethiopia) na redio za Afrika Mashariki miaka ya sitini na kuendelea alifariki tarehe 17 / 01 / 2020. Mzee Zakaria ndiye mtanzania pekee aliyekuwa maarufu masikioni mwa watu duniani, enzi hizo Zakaria Ndemfoo na Machame Kisiki vilizagaa kwenye anga duniani na lugha ya kiswahili japo wengi hawakujua alikieneza kiswahili kwa njia ya salamu kupitia redio.
PUMZIKA PEMA MZEE ZAKARIA NDEMFOO.
Nimeikuta mahali km nimekosea mwenye picha aniwie radhi.Kikubwa tumesikitishwa na msiba wa huyu gwiji wa salamu toka enzi za ukoloni