Ndugu, Mbona hao waliomiletea hizo propaganda na uongo, hadi leo wameshindwa kuiendesha NSSF na linadidimia. Wakati wa Dau shirika linangara na linaleta faida, leo linatia hasara.Dau huyu huyu aliefuja miradi kibao ya nssf kama kule kigamboni walinunua viwanja kwa mamilioni ya fedha wakati thamani halisi haifiki 1M
Tokea Dau aondolewe hadi leo viongozi wangapi wameondolewe kwa kishindwa kuliendesha shirika kiadilifu.
Kill the angel but give it uts due