JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,521
- 7,569
Actually kilichowapa watu picha ya udini ni kukua kwa idadi ya wanaovaa visuruali vifupi na uchebe na wale wanawake wanaofunika kichwa. Hawa walikuwa wanaonekana kwa macho tu wala si kwa tochi.Sijui haya majibishano yanakujaje hapa. nssf ni taasisi ya umma na inahudumia umma mzima wa watzania.
Hao wafanyakaz wa hapo wanaonana uso kwa macho na hao wananchi kila siku. Watu wanaeleza walichokuwa wanakiona.
Mbona simpo tu.