TANZIA: William Malecela afiwa na mama yake mzazi

Wale waliuawa kama adhabu kutokana na chukizo walilofanya mbele ya Mungu. Je, na mimi nikuulize, Lazaro aliuawa na nani? Kama angekuwa ameuawa na Mungu, Yesu angethubutu kumfufua? Angefanya hivyo si angekuwa amepingana na baba yake (Mungu)? Hebu tafakari.

Jamaa unataka kuibua mjadala chonganishi.
A very brilliant argument.

Bandiwe.

Majibu au bado unatafakari?
 
Rhoda L. SICHALI anayetajwa ndo mama yake na Lemutuz, basi alitoa article moja kuelezea matatizo na furaha ya wanawake Tanzania mwaka 1967 ikachapishwa Monthly Newsletter ya Kivukoni at that time, nafikiri alikuwa ana refer maisha yake baada ya kuzalishwa na kutelekezwa na aliyekuwa PM wa raisi Mwinyi! inasikitisha sana, na kwakweli Malacela senior anastahili lawama sana kwa kumzalisha na kumtelekeza! Huenda hata Lemutuz hakupata care ya baba! anyway pole sana mwanajf mwenzetu japo uko busy na kupost pics za mabeibe tu regardless ya msiba wa mother wako!

ARTICLE NI HII CHINI
The problems and happiness of Tanzania women
Author: Sichali, Rhoda L.
Year: 1967
Periodical: Mbioni: The Monthly Newsletter of Kivukoni College
Volume: 4
Issue: 4
Pages: 60-66
Language: English
Geographic term: Tanzania
Subject: women
Abstract: The author discusses the happiness and problems of the women of Tanzania before and after independence. She describes the functions of women in traditional society and then the changes which have taken place in the transition to modern society, referring to customs of the Unyakyusa and Undali.
 
Rhoda L. SICHALI anayetajwa ndo mama yake na Lemutuz, basi alitoa article moja kuelezea matatizo na furaha ya wanawake Tanzania mwaka 1967 ikachapishwa Monthly Newsletter ya Kivukoni at that time, nafikiri alikuwa ana refer maisha yake baada ya kuzalishwa na kutelekezwa na aliyekuwa PM wa raisi Mwinyi! inasikitisha sana, na kwakweli Malacela senior anastahili lawama sana kwa kumzalisha na kumtelekeza! Huenda hata Lemutuz hakupata care ya baba! anyway pole sana mwanajf mwenzetu japo uko busy na kupost pics za mabeibe tu regardless ya msiba wa mother wako!

ARTICLE NI HII CHINI
The problems and happiness of Tanzania women
Author: Sichali, Rhoda L.
Year: 1967
Periodical: Mbioni: The Monthly Newsletter of Kivukoni College
Volume: 4
Issue: 4
Pages: 60-66
Language: English
Geographic term: Tanzania
Subject: women
Abstract: The author discusses the happiness and problems of the women of Tanzania before and after independence. She describes the functions of women in traditional society and then the changes which have taken place in the transition to modern society, referring to customs of the Unyakyusa and Undali.
sitaki kuamini huyu mama alikuwa msomi kiasi hiki, hebu ITV na STARTV fanyeni hima mutuletee update za huu msiba, lazima historia iwekwe wazi, kwahiyo mwale mama kilango na mzee hawana habari? mbona siwasikii kutajwa?
 
Back
Top Bottom