Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Innallilah wainna illah rajiun; Mola amsamehe makosa yake; amuondelee adhabu za kabri; awape subra wafiwa
Ameni.
makosa yake mnayaona wakati kafa..?? Mngemrekebisha alipokuwa mzima
 
Mungu amlaze mahala pema peponi
Mimi kama mwana kristo sifurahii mtu kufa watakaofurahia ni ccm kutokana na maneno ya lukuvi !
Bwana hakawii kuitimiza ahadi kama wengine wanavyodhani, yeye huvumilia maana hapendi mtu yeyote apotee bali anapenda watu wote watubu. 2 petro 3:9
 
RIP Sheikh Ilunga, alikuwa anasema ukimwona Padre Chinja! moja ya mihadhara yake
 
Eee mwenyezi mungu tufishe tukiwa ni mashahidi wa dini yako kama ilivyokuwa kwa mashekh wetu hawa:ILUNGA,ROGO,MAKBUR na wengine wengi.na utuepushe kuwa mashekh wanafiki kama mashekh wasakatonge.
 
Shetani unamjua wewe? Hujui kuwa yule aliyewadanganya mpaka mnaabudu binadamu aliyedhalilishwa kwa kupigwa misumali na kuveshwa nepi ndio unatakiwa kumlaani? Wewe jini nini?

Ilunga na shetani tofauti yao ni majina tu
 
Ilunga atakumbukwa kwa uhodari wake wa kuifanya dini ya kiislam ionekane ya chuki, visasi, mauaji, uhuni na kila sifa mbaya
 
SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU AFARIKI DUNIA, ATAZIKWA LEO ALASIRI (5.5.2013) JIJINI DAR ES SALAAM.

Mazishi yatakuwa leo inasemekana yataanzia pale mskiti wa Kichangan..

10309206_609104475840467_8522359693501581541_n.jpg



Inna Li Llahi wa Inna ILlahi Rajiun
 
Mungu ametenda miujiza

wagala ni wehu sana. sasa hapo muujiza gani ikiwa mtu amefariki kifo cha kawaida akitokea kwenye matibabu India. hakuna muujiza hapo kwani kitu mtu anaonja kifo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom