Hivyo hivyo unaweza kukesha JF unamponda Ilunga kumbe hakuna ukifanyacho.
Wala usisumbuke kunihifadhi... we sema tu ili kila mmoja afahamu kwa maana mwenye kutoa hukumu ya haki kuhusu NasDaz ni mtu wa namna gani ni Mungu peke yake. Narudia, ni Mungu peke yake kv yeye ndie anaefahamu matendo ya nafsi yangu!! Naweza kusimama hapa na kumtetea kwa nguvu zote Sheikh ILunga huku nikitaka nionekane napigani dini kwelikweli... lakini siku ya siku ni Mungu peke yake atakayefahamu ikiwa ninachokipigani ndicho true reflection of my heart!
waislamu wote wangekuwa sawa na wewe nchi hii ingekuwa mbali kiuchumi, kijeshi, kijamii na kisiasa, lakini kwa vile mashehe wapenda ubwabwa na wali wa maulidi ni wengi ndiyo maana tumefikia hapa tulipo!
Sawa wewe genius unayemwamini aliyetabiriwa utume na mganga wa kienyeji. ALLAH anayeruhusu binadamu kumuua binadamu mwenzake huwezi kumfananisha na MUNGU WETU WA UPENDO
Tatizo lenu hamujui maana ya neno "KAFIRI" hilo sio tusi ila sifa ya wale wanaoukataa uislamu.
I dare to say admins have absolutely gone powerless to moderate this thread...
Innalillah wa innaillayh rajiuun
Aaah
Kumbe napoteza muda kwa kuzungumza na chizi...
Sasa wewe udhalimu wote alioufanya nyerere ikiwa ni pamoja na kuwaweka waislam wenzako vizuizin na ikibid wengine kupotezwa kimya kimya huoni siyo??
Na nyerere alipokuundia chombo km bakwata na kutumia chombo hicho kubana waislam na kuwarudisha nyuma kimaendeleo ya kila nyanja wewe hulion hilo..
Kweli mapimbi wengi nchi hiii
Pamoja na watu km ilunga kusimama na kuyasema hayo waz waz bado ww unajitoa ufaham tena hadi unafikia kumfananisha nyerere na mwinyi??
Haya tumekuskia nenda kakojoe ukalale maana bado mchanga wewe ukikua utaacha uwendawazim wako.
I dare to say admins have absolutely gone powerless to moderate this thread...
Mkuu Allah akuzidishie Inshallah.vilevile hata shekh ilunga anaejua uongofu wake au upotofu wake ni allah azza wajallah.
Sasa inakuwaje wewe unakuwa wa kwanza kutoa hukumu juu yake hali ya kuwa yeye amekufa akiwa anashuhudia shahada mbili .
Nahofia kuwa bado haujaujua uislam wako sawasawa or you try to play double standard so as to comfuse our tention .
Mtume muhammad (saw)amekataza kumsema kwa ubaya muislam bali kumtakia rehema.
May be you're doyuuth a bit.
naomba moderator wasiufunge uzi huu ili haki ionekane......
Mbona waislam wa Nigeria kaskazini ni maskini?, Mbona waislam wa Mombasa ni maskini, Mbona mwarabu ameachwa nyuma na Wa Asia wenzake kama akina China, Japan kitechnolojia?, Mbona mparestina kaachwa kimaendeleo na Mwisrael?,mbona visiwa vya Comoro hoi?,au huko kote ni Nyerere
Your wishes already granted as they have failed to do so at its infancy. .
Na mbona Tanzania ni maskini na iko chini ya mfumo k......hili he
Mungu gani huyo wa upendo na mimi nimjue
Teh teh teh!
Mgalatia karusha kitaulo!
Hapa hakuna cha moderator wala nini!
Mpaka tuwatahiri watu bila ganzi!
Teh teh teh!
Mgalatia karusha kitaulo!
Hapa hakuna cha moderator wala nini!
Mpaka tuwatahiri watu bila ganzi!
Nyie mtu mwanye chuki ndio mnamuheshimu. Nadhani sasa inabidi mumwambie ALLAH aache kuumba makafir, ALLAH kuendelea kuumba makafir mpaka leo ni sawa na kujipinga mwenyewe. Alitakiwa mmabaki nyie wema