Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.

Dini ya kishetani imekufanya kuwa na mawazo mgando, huyu jamaa alikuwa anahamasisha watu kuuwa sasa yeye kama kuona kuuwa mtu ni ufahari mbona yeye hakuishi milele. Waislam mtambue thamani ya uhai wa mwanadamu na kwamba ukichezewa lazima Mungu akuadabishe
 
Kaka na wewe? wewe c ndiye uliponea chupi chupi kukunaniliu kwa kupeleka azam sembe china? kumbe mnakolabo na mapadri? vipi kwny list ya mshua ulikosa kweli!
Rudi facebook hapa siyo saizi yako.
 

Hiyo picha uliyoweka hata baba yako alikuwa anamcheki mother yako Ndio ukapatikana wewe mbona hilo ni suala la kawaida.

Yakobo aligonga ngoma nne halafu wengine walikuwa wafanyakazi (mabeki tatu) chezea Yakobo weye, we endelea kubaki kuwa fundi saa unatazama kwa jicho moja.
 
Kahtaan ukinipa hivi vifungu kwenye Bible mimi nasilimu sasa hivi, bora na mimi niwe muabudu na majini. Lete hiyo

Utawezaje kusilimu hali ya kua bado una GOVI,Kaondoe mkono wa sueta kwanza Kakende
 
ADAM, HAWA, YESU si binadamu wa kawaida kwa kuwa wazazi wao hawajulikani

We mbulula wapi.nimeongelea hao?

Nakuuliza wewe WAANDISHI WA BIBLIA.
MARK.
MATHEW
LUKE and
JOHN
Hao hapo juu KAMA SIO WATOTO WA HARAMU WALIOZALIWA MITAANI ,BABA ZAO NI KINA NANI??

We unafuata kitabu Kilichoandikwa na wanaharamu??

Ndio maana always husema UKITAKA KUWA MGALATIA BASI LZM UWE AKILI KUAMBIWA TU!
 
Ungekuwa unasoma BIBLE usingekuwa unaswali na JINI likiwa linakuchungulia matakakoni wakati wa kuinama ukiwa unaswali

uzembe wa kufikiri

ushawahi kuona msikitini watu wanapiga mayowe wamepandisha majini au umewahi kuona wanaanguka hovyo na kugalagala?

Mimi mpaka sasa sijamuona mtu aliewahi kuenda msikitini kutoa hayo mapepo wanayodai.wengi wao wanaongelea wakiwa juu ya mti.
Si mshuke msikitini mkayatoe tuone.
 
we kakende tulia umeze dawa sawa ee........Kahtaan mfundishe huyu mgalatia mpaka aelewe...
 

Ndugu fafanua kazi IPI kwa mfano Watu wamehasika kuindeleza? Kumbuka alikuwa anatafutwa na Polisi kutokana na kazi sake.
 

Shetani ni wewe ambae unaeona Duniani ndo umefika utadhani hutokufa sasa ishi milele kwa uhai wa mkate
 
Ndugu fafanua kazi IPI kwa mfano Watu wamehasika kuindeleza? Kumbuka alikuwa anatafutwa na Polisi kutokana na kazi sake.

kwanza katufunulia kuhusu mfumo kristo na tushajua mbinu zenu ndo mana mapadri yote yalitaka akamatwe.
 
Embu weka andiko linaloonyesha maria alikuwa na miaka11 na Joseph 90..
 
Last edited by a moderator:
Nimekutachi kaka nakushangaa unavokuwa jasiri kuzungumzia sembe, tuliambiwa ulikamatwa na sembe china na hujawahi kana popote.
Kijana naona unatafuta bashaa kwa nguvu.
 

Heshima kwako mkuu
 
Muslims are nusty they bring trouble in this world cheki kenya cheki nigeria!

absolutely true, but they should realise that "The world is not only for muslims" they are nonsense!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…