7
HAO NI WATOTO WA HARAMU Hawana BABA!
Na HAKUNA AJUAE BABA ZAO NI NANI.
Na Kama kuna MKRISTO YOYOTE ANAEPINGA HILO. Basi AJE ATU0E MAJINA YA BABA ZAO!
aanze huyo Kakende bin kapumbu!
Asante Jehova kwa kuwa wewe ndiye Mungu wangu. Asante kwa kuniumba. Ningeumbwa na Allah bila shaka na mimi ningekuwa sawa na kina anti Moody, anti Ally na wale maanti wengi wanaojianika Lango la Jiji na Travatain
Hata kama Maiti hasemwi kwa mabaya wala sina la kumsifia mtu kama Sheikh Ilunga hata kama nami ni mwislamu. Ni Sheikh gani unahamasiha watu wachinje mapadri na maaskofu huku ukitumia maandiko ya Kuran kwa kupotosha?!!! Ni heri nionekane kafiri kuliko kumtetea sheikh anaeshadidia mauaji yasiyo na kichwa wala miguu.
Hongera kahtaan kwa kutambua Yesu the great, hajulikani baba a.k.a bin mwanamkeNimesoma BIBLIA KULIKO mzazi wako.wa kike! Manake na wewe babako humjui kama vile Matayo, marko, Luka na John!
Watoto wa zinaa wana tabu sana!
Kuishi bila kutambua baba zao!
Nilikuwa cfahamu kwamba kumbe nawe ni mzuri kwenye kashfa za kidini... tukumbushane tu kwamba unaweza kuwa na jina zuri la Kikristo na ikawa kila inapobidi unaenda kanisani lakini what will determine your true Christianity si jina wala uendaji wako wa kanisani bali what's deep inside your heart! Ingawaje mimi ni Mwislamu huku nikiaminishwa kwamba dini ya kweli ni Uislamu lakini siamini hata kidogo kwamba mbele ya Mungu mimi ni bora kwavile tu ni Mwislamu na Mkristo yeyote ni wa motoni hata kama anafanya mema kwa wanadamu wenzake kuliko mimi!!! Nitakuwa wa mwisho kuamini katika hilo....
Kahtaan kwa mara ya kwanza umenifurahisha, umetambua kuwa Yesu si binadamu wa kawaida, kiumbe wa kimiujiza. Big up, sasa unaanza kuelewa
Nimesoma BIBLIA KULIKO mzazi wako.wa kike! Manake na wewe babako humjui kama vile Matayo, marko, Luka na John!
Watoto wa zinaa wana tabu sana!
Kuishi bila kutambua baba zao!
Halafu mbaya zaidi, ingawaje dini zenyewe tunadhani tunazijuwa, kimsingi wala hatuzijui matokeo yake ndo haya... ujinga ujinga, as far as Sheikh Ilunga alikuwa ni Mwislamu basi Waislamu wote tumtetee na kumuunga mkono hata kama alichokuwa anahubiri ni chuki!Tatizo la Mwafrika akiletewa dini basi yeye anaijua kuliko aliyemletea. Dini nyingi tumeletewa na wazungu na waarabu. Sasa tunaanza kugombana na kuitana majina tuliofundishwa na wageni i.e kafir. Mungu atusaidie.
Wapi nimeandika Yesu sio binaadamu wa kawaida!
We mshamba kweli!
Unasema uongo hadharani??
Nilochoandika hapo juu ni kuwa MARK, MATHEW , LUKE NA JOHN watakuwa ni WATOTO WA HARAMU!
Manake BABA ZAO HAWAJULIKANI!
NA KAMA WEWE UNA MAJINA YA HAO WATUNZI WA BIBLIA BASI TULETEE HAPA!
Na kuuza madawa ya kulevya.
Hivi huu mstari uwa una maana gani katika biblia?
"Mpende adui yako" maana kama unafunga kula kwa kumuombea kifo (au jambo lolote baya) adui, then sijui huo ni uikristo gani!
Umma Unasoma hapa jukwani.
Kataa kuwa viongozi wengi wa makanisa duniani WAMESHTAKIWA KWA MAKOSA YA KULAWITI WATOTO!
Kataa kuwa hapo TZ kuna Viongozi wengi tu wa MAKANISA wanaojishughulisha na Biashara ya madawa ya kulevya!
Kataa kuwa wachungaji wengi tu hapo TZ wamefumaniwa na WAUMINI WA KIKE wakiwaZINI MAKANISANI na KUFUMANIWA NA WAKE ZA WATU!
Na pia kataa kuwa Wewe si mmoja wa kambi ya kutetea Wachungaji wabadhirifu na wizi wa haki wanaotumia jina la yesu kutendea uhalifu wao.
Ndio maana ukajiita Kakende a.k.a kapumbu! Yaani kadogo km ka panya!
Na mwanamme mwenye kapumbu kadogo anakuwa AMEHASIWA! kitu ambacho husababisha apende wanamme kuliko wanawake!
habari nilizozipata punde ni kwamba ustadh ilunga hassan kapungu muasisi wa maneno mfumo kristo tanzania amefariki dunia kwa ugonjwa wa kisukari na baadae figo zake kushindwa kufanya kazi.
Swala ya maiti itaswaliwa msikitini wa kichangani-magomeni na atazikwa leo.
Innalilahi waina ilaihi rajiuun.
===============
update:
sheikh ilunga aliyefariki dar es salaam, anatarajiwa kuzikwa leo katika makaburi ya mwinyimkuu yaliyoko magomeni mapipa.
Maiti yake itasaliwa katika msikiti wa kichangani, magomeni - dar es salaam katika sala ya alasiri saa kumi jioni.
Sheikh ilunga ambaye alikwenda nchini india kwa matibabu, aliwahi kukamatwa na polisi na kufunguliwa mashtaka kwa tuhuma za kutoa mahubiri ya uchochezi.
Msiba wake upo mbezi - goigi, jijini dar es salaam.
Halafu mbaya zaidi, ingawaje dini zenyewe tunadhani tunazijuwa, kimsingi wala hatuzijui matokeo yake ndo haya... ujinga ujinga, as far as Sheikh Ilunga alikuwa ni Mwislamu basi Waislamu wote tumtetee na kumuunga mkono hata kama alichokuwa anahubiri ni chuki!
Mnashangilia kufariki sheikh Ilunga, mnahisi na dini ya kiislamu ndio imekufa sio? Watu kama akina Ilunga wapo wengi sana na ipo cku watasikika nao muwaombee vifo vilevile. Pia ninyi mtaishi milele ktk dunia hii kwani nahisi Mungu kawachagueni maalumu kwa ajili ya kuangalia nani jamii ya marehemu sheikh Ilunga kafariki na nani bado, dunia hii jamaa zangu, toeni maneno ya kejeli lakini iko siku nanyi mtafukiwa ardhini. :/