Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Alhamdulillah Sheikh wetu ndo tushatoka kumzika nyinyi bakini na majungu yenu
 
umekosea kidogo Mkuu...unatakiwa kuandika Innalillahi wainna ilaihi rajiuun...Sisi sote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake yeye ni wenye kurejea
 
Mkuu asante sana, za siku aisee? Nimemuona, ila sijui namfananisha na yule mzee alikuwa anasema waislam wawaue mapadri, sjui ndio huyu ama nimemix, anyway yaliopita si ndwele apumzike kwa amani mzee Ilunga

Ndo yeye katika mahubir yake aligusia suala la mauaji ya sheikh Roggo (mombasa) pamoja na suala la sensa 2012
 
Ndo yeye katika mahubir yake aligusia suala la mauaji ya sheikh Roggo (mombasa) pamoja na suala la sensa 2012

na wewe umetokea wapi....tafuta shughuli ufanye Sheikh ameshapumzika katika bustan za peponi inshaallah
 
Cool down,
Nini shida sheikh, mbona unatokwa mapovu namna iyo,
Matusi meengi,
Mtu akikuudhi Relax, cool yo temper use akili, jibu kwa hekima,
Kama Allah through Muhammad alivotuasa,
Namna hiyo.
 
Haa! Makamu wa rais kahudhuria? Kweli msiba hauna ubaguzi.


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums


Naam ni Shariff Hamadi sio huyo mpuuzi wa huku Bara. Kwakweli Allah amlipe huyu Sharif Hamad maana jumuiat nyingi za kiislam huwa anajitokeza dhwahir bila unafki wowote ule nakumbuka hata kwenye kuchangia Radio Iman ni kiongozi yeye tu aliyekuja toka serikalin japo wengine walipewa taarifa. Na hivi wiki iliyopita alikuwepo ktk kuchangia kituo cha kiislam kilichoungua hapo Zanzibar
 
Kwa uchochezi ule sijui kama anaweza kusamehewa!

Huwa mnashangaza sana ninyi akina Lukuvi et al... UKWELI kwenu ni uchochezi, tumeona jinsi ambavyo maneno ya Mhe Lisu mlivyo yageuza na kuyaita matusi ... Sasa tumemuelewa Sheikh Ilunga vizuri sana, tumelewa kwanini Mikoa ya Pwani Lindi na Mtwara yaliachwa kimaendeleo! tumeelewa kwanini Maghorofa ya Karume yaliachwa kuwa magofu, tumelewa kwanini Mkoa wa Tanga ulivyo chakaa! Tunaelekwa kwanini Tabora, Kigoma ujiji na kilwa ilikuwa miji yenye ustawi Mkubwa lakini imetengwa kimaendeleo kwa miaka dahar...tunaelewa kwanini shule za EMWS zilihujumiwa baada ya kukabidhiwa BAKWATA! tunaelewa kwanini NACTE mmegawana! Tunaelewa kwanini wizi wa mitihani ilikuwa inatokea! tunaelewa kwanini baadhi ya shule hufutiwa matokeo...
 
Apumzishwe mahala anapostahili


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom