chamtemamoto
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 796
- 215
Raha ya milele umpe eeh Yesu na mwanga wa milele umwangazie. Apumzike kwa amani. AMEN!
Mungu kamuondosha yeye sasa.
Bila shaka sasa hivi yupo na mabikira wake 72 anajilia vyake. Wajinga ndiyo waliwao.
Sitegemei viongozi wa serikali kwenda kumzika, kwani bado alikua anatafutwa.
Mungu kamuondosha yeye sasa.
Bila shaka sasa hivi yupo na mabikira wake 72 anajilia vyake. Wajinga ndiyo waliwao.
Wewe utaishi milele? Tena bola yeye kaondoka huku akituasa waislam tujitolee kuupigania uislam wetu kwa hali na mali kuliko ww utaondoka juu ya dunia hii kuludi kwa mola wako bila ya amali yoyote"
Mabikra mzee yule,atawachafua tuu.
Mkuu asante sana, za siku aisee? Nimemuona, ila sijui namfananisha na yule mzee alikuwa anasema waislam wawaue mapadri, sjui ndio huyu ama nimemix, anyway yaliopita si ndwele apumzike kwa amani mzee Ilunga
maombi ya kufunga "kula 7" mfululizo, yamejibu.maombi ndio silaha yetu kubwa wakristo.
Huyu mtu alikuwa anahubiri wenzake wauawe kama vile kawaumba yeye, alitaka makafir wauawe ili wabaki viumbe wenye haki mbele ya Mungu. Hii dini inafurahisha, Mungu anaumba kafir, lakini Mungu huyohuyo anaagiza kafir auawe. Tangu aagize mapadre kuuawa hajawahi kuwa na raha, muda wote kuugua tu mpaka amekufa.
Vipi atafika firdaus?