TANZIA: Uongozi wa Shirikisho la viwanda Tanzania(CTI), unatangaza kifo cha Mkurugenzi wao Mstaafu, Hussein Kamote

Bila shaka you are above fifty na bado unajibizana hapa JF na wajukuu zako.
Perfect, wajukuu hawana adabu. Mnafundishwa na nani matusi kwa babu zenu! Wajukuu mnasema uzee mwisho Chalinze! Tukishaingia mjini kila mmoja ni chizi! Wewe huoni jmaa ameikimbia familia, ni kwa vile mjini shule!
 
Katika uhai wake marehemu Hussein Kamote alihudumu serikalini na katika sekta ya kibiashara Tanzania

October 24, 2014
Hussein Kamote from Confederation of Tanzania Industries votes for MY World 2015

Source : Udenrigsministeriet

May 10, 2018
Sakata la uhaba wa mafuta ya kupikia: Viwanda vinne vyafungwa
Mwenyekiti wa Chama cha utengenezaji Mafuta ya kupikia Tanzania, Hussein Kamote amesema hatua hiyo imesababishwa na kuzuiwa kwa meli mbili zenye mafuta ghafi bandarini.

Source : Azam TV
...............................................................
April 27, 2020
Dar es Salaam, Tanzania

CONDOLENCES
CtiConfederation of Tanzania Industries

Dear Member,

The Governing Council and the Management of the Confederation of Tanzania Industries (CTI) wish to announce with great sadness the death of our former (Retired) Director of Policy and Advocacy Hussein Kamote who died on Sunday 26 April, 2020 in Dar es Salaam. Kamote retired from CTI in May 2015.

We will always remember him for his enormous contribution specifically during different advocacy campaigns towards making Tanzania a better and competitive place to do business. He was engaged in different national, regional and international negotiations aimed to create better and competitive business environment.

The burial arrangements are underway. We wish to extend our heartfelt condolences to the bereaved farnily members and close friends. We pray that God grant them consolation at this time of sorrow.

For those who wish to send their condolences rnay contact the late Hussein Kamote's son, Mr. Kibaja Kamote on Tel: 0653-192961 .

"May His Soul Rest Peace Amen"

CTI Secretariat
 
Kwa sasa itoshe kusema poleni wafiwa, ndugu na jamaa. Mvuke hichi kipindi kigumu kwa uvumilivu na ustahimilivu.
 
Bila shaka you are above fifty na bado unajibizana hapa JF na wajukuu zako.

Pole sana waliofikwa na msiba.

Mkuu stroke.

JF sio ya wajukuu.

JF ni ya GT’s.

Ila nakiri kuwa itapendeza sana kama GT’s wengi zaidi wakiwa wajukuu.

Poleni wote mliopatwa na msiba.
 
Binafsi namkumbuka mzee kamote kwenye social issues ,mdau sana live band especially SHIKAMOO JAZZ BAND viunga vya tabata enzi za nyantare, chemchem,mpumalanga,mawezi , RIP BABA
 
Kwa leo tu tarehe 27 mwezi April, mitandaoni kuna Tanzia tano! Hizi ni za wale watu mashuhuri tu. Naibu Meya Morogoro, Mstaafu wa TIC, Mkuu wa wilaya, kwenye page ya Zitto kule kuna Tanzia na huyu wa CUF! Vipi kwa watu ambao sio mashuhuri huko

Sote tutapita njia hiyo hiyo, Mungu awalaze mahala pema peponi, Amina!
 
Kwahio ndani ya masaa 24 tumepoteza Watu wanne Yule DC wa Kusini, Mzee Kificho, Mzee Kamote na Jaji Kakwima

27 Apr 2020
Morogoro, Tanzania

KIFO CHA NAIBU MEYA, MGANGA MKUU AFUNGUKA "UNAFANYIWA VIPIMO VYA CORONA, HATURUHUSU WATU"

Diwani wa Kata ya Kiwanja Cha Ndege Manispaa ya mji wa Morogoro,Tanzania ambaye pia ni Naibu Meya wa Manispaa hiyo, Mh. Isihaka Sengo amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.

Kwa mujibu wa taarifa za Mganga Mkuu Manispaa ya Morogoro, Dr. Ikaji Rashid kuwa mwili huo umechukuliwa nyumbani kwake ambapo kwa sasa umehifadhiwa na kupelekea katika hospitali ya Rufaa Morogoro kwa ajili ya kuchukulia sampuli za Corona.

Hivyo baada ya saa 24 mpaka 72 kuanzia sasa kutokana na wingi wa sampuli zinazopelekwa maabara ya Dar es Salaam, majibu yatatolewa kwa ndugu wa marehemu ili kujua sampuli ni Covid19 +ve au Covid19 -ve ili taratibu za mazishi ziende kufuatana na majibu kutoka Dar es Salaam.

Source: millard ayo
 
Back
Top Bottom