Tanzia tanzia

Tanzia tanzia

babayah67

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2008
Posts
493
Reaction score
79
Tangazo la Msiba.

Ninatangaza msiba wa Baba ya Rafiki yangu mpenzi aitwaye Sunghwa Fortunatus, uliotokea usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Segerea.
Mazishi yatafanyika siku ya Jumamosi tarehe 23/July/ 2011 hukohuko Segerea.
Habari ziwafikie Ndugu, Marafiki na jamaa wote na hasa wale wote waliomaliza UDSM mwaka 1994 Faculty of Science majoring Chemistry, Microbiology.
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa, jina lake Lihimidiwe, Ameen
 
Tangazo la Msiba.

Ninatangaza msiba wa Baba ya Rafiki yangu mpenzi aitwaye Sunghwa Fortunatus, uliotokea usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Segerea.
Mazishi yatafanyika siku ya Jumamosi tarehe 23/July/ 2011 hukohuko Segerea.
Habari ziwafikie Ndugu, Marafiki na jamaa wote na hasa wale wote waliomaliza UDSM mwaka 1994 Faculty of Science majoring Chemistry, Microbiology.
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa, jina lake Lihimidiwe, Ameen
1.Pole sana.
2.Segera ipi??....kwa bibi,migombani, karibu na gereza au maeneo ya kanisa la RC??? UKIWA Segerea mwisho unaelekea wapi???
 
poleni kwa msiba, BWANA alitoa na BWANA ametwaaaa jina lake lihimidiwe..............!!!!!!!!!!
 
Poleni kwa msiba mungu awape uvumulivu na amani ktk kipindi hiki kigumu
 
pole kwa msiba mungu akulinde na akuzidishie amina..
 
Pole kwa wafiwa. Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu.
 
Tangazo la Msiba.

Ninatangaza msiba wa Baba ya Rafiki yangu mpenzi aitwaye Sunghwa Fortunatus, uliotokea usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Segerea.
Mazishi yatafanyika siku ya Jumamosi tarehe 23/July/ 2011 hukohuko Segerea.
Habari ziwafikie Ndugu, Marafiki na jamaa wote na hasa wale wote waliomaliza UDSM mwaka 1994 Faculty of Science majoring Chemistry, Microbiology.
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa, jina lake Lihimidiwe, Ameen


poleni sana wandugu,
hakika bwana alitoa, bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe!!!!!AMEN
 
Back
Top Bottom