Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,555
RIpPoleni wafiwa wote.
RIpPoleni wafiwa wote.
Wifi huu msiba wa 2011 nani kaufufua?poleni sana
Poleni sana.Tangazo la Msiba.
Ninatangaza msiba wa Baba ya Rafiki yangu mpenzi aitwaye Sunghwa Fortunatus, uliotokea usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Segerea.
Mazishi yatafanyika siku ya Jumamosi tarehe 23/July/ 2011 hukohuko Segerea.
Habari ziwafikie Ndugu, Marafiki na jamaa wote na hasa wale wote waliomaliza UDSM mwaka 1994 Faculty of Science majoring Chemistry, Microbiology.
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa, jina lake Lihimidiwe, Ameen
Duh!!Tangazo la Msiba.
Ninatangaza msiba wa Baba ya Rafiki yangu mpenzi aitwaye Sunghwa Fortunatus, uliotokea usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Segerea.
Mazishi yatafanyika siku ya Jumamosi tarehe 23/July/ 2011 hukohuko Segerea.
Habari ziwafikie Ndugu, Marafiki na jamaa wote na hasa wale wote waliomaliza UDSM mwaka 1994 Faculty of Science majoring Chemistry, Microbiology.
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa, jina lake Lihimidiwe, Ameen
jamani tupo msibani sio pa kuyaongelea humu![]()
uwe unasoma kwanza bhana... huyu kaka inabidi tufanye maarifa utatelekezwa hivihivi