Tanzia tanzia

Tanzia tanzia

Tangazo la Msiba.

Ninatangaza msiba wa Baba ya Rafiki yangu mpenzi aitwaye Sunghwa Fortunatus, uliotokea usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Segerea.
Mazishi yatafanyika siku ya Jumamosi tarehe 23/July/ 2011 hukohuko Segerea.
Habari ziwafikie Ndugu, Marafiki na jamaa wote na hasa wale wote waliomaliza UDSM mwaka 1994 Faculty of Science majoring Chemistry, Microbiology.
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa, jina lake Lihimidiwe, Ameen
Poleni sana.
 
Watu wana uchungu,
waliondokewa na wapendwa wao,
jf hawakupewa rambi rambi,
ni heri tu uurudishe pengine kuna watakaoona hii.
 
Tangazo la Msiba.

Ninatangaza msiba wa Baba ya Rafiki yangu mpenzi aitwaye Sunghwa Fortunatus, uliotokea usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Segerea.
Mazishi yatafanyika siku ya Jumamosi tarehe 23/July/ 2011 hukohuko Segerea.
Habari ziwafikie Ndugu, Marafiki na jamaa wote na hasa wale wote waliomaliza UDSM mwaka 1994 Faculty of Science majoring Chemistry, Microbiology.
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa, jina lake Lihimidiwe, Ameen
Duh!!
Shikamoo mkuu kama umemaliza fos huo mwaka
 
Wifi...khaaa sikujua.
Nimeona mtu katoa pole, nami nimefatisha tela bila kusoma mwaka.
Kumbe 2011?
Duhhhh!!!!
Wifi kaka yako MO11 tangu iishe Idd hajarudi.
espy sio mtu mzuri kwa kweli
uwe unasoma kwanza bhana... huyu kaka inabidi tufanye maarifa utatelekezwa hivihivi
jamani tupo msibani sio pa kuyaongelea humu
 
Back
Top Bottom